Monday, September 22, 2008
Kipindi cha Kuimba na Kusikia Neno la Faraja
Tumaini langu niende, Parapanda italia parapanda, Anakuja Yesu Amen Haleluya......
Mchg. Dr. J. Ngwamba akitoa Neno la Faraja (1 wathethalonike 4:13-18) Reference
.JPG)
Ratiba Historia na Matukio Katika Picha siku ya Misa
Ratiba, Historia za Marehemu na Matukio Mbalimbali kwenye Misa
MUONGOZO WA MISA YA MSIBA LEO TAREHE 05 APRIL 2008
UKARIBISHO MUONGOZAJI
NYIMBO {TENZI/ PAMBIO / MWIMBIENI BWANA} MUONGOZAJI/ WOTE
MAOMBI YA UFUNGUZI MCHG. EZEKIEL KUSELYA
UTAMBULISHO : A. WACHUNGAJI
B. WAFIWA
C. WANAJUMUIYA
PAMBIO/ NYIMBO WOTE/ MARIA
HISTORIA FUPI WASOMAJI
WIMBO MWIMBIENI BWANA (NENO LA MUNGU TAKATA. Uk. 310 au 311)
MAHUBIRI MCHG. JERRY NGWAMBA
MAOMBI KWA WANAFAMILIA WALIOFIWA MCHG. JAMES SALAKO
NENO FUPI LA FARAJA KIONGOZI WA FARAGHA (Fellowship)
NENO TOKA KWA WAFIWA NDG. ALFRED K. NJAU
KUSALI KWA AJILI YA HUYATU NA KUAHIRISHA.
----------- TAMATI-----------
UKARIBISHO MUONGOZAJI
NYIMBO {TENZI/ PAMBIO / MWIMBIENI BWANA} MUONGOZAJI/ WOTE
MAOMBI YA UFUNGUZI MCHG. EZEKIEL KUSELYA
UTAMBULISHO : A. WACHUNGAJI
B. WAFIWA
C. WANAJUMUIYA
PAMBIO/ NYIMBO WOTE/ MARIA
HISTORIA FUPI WASOMAJI
WIMBO MWIMBIENI BWANA (NENO LA MUNGU TAKATA. Uk. 310 au 311)
MAHUBIRI MCHG. JERRY NGWAMBA
MAOMBI KWA WANAFAMILIA WALIOFIWA MCHG. JAMES SALAKO
NENO FUPI LA FARAJA KIONGOZI WA FARAGHA (Fellowship)
NENO TOKA KWA WAFIWA NDG. ALFRED K. NJAU
KUSALI KWA AJILI YA HUYATU NA KUAHIRISHA.
----------- TAMATI-----------
HISTORIA FUPI ZA MAREHEMU (LEO IKIWA NI TAREHE 05 APRILI 2008)
Kwanza: Bibi Matemu
Mnamo tarehe 29 Disemba 2007 tulipata taarifa za kusikitisha za kuondokewa na bibi yetu mpendwa Bibi matemu aliyeyaaga maisha haya akiwa huko Marangu Mkoani Kilimanjaro. Waliulaza udongoni mwili wa Bibi Matemu tarehe 2 Januari 2008.
Bibi matemu alizaliwa mwaka 1905. Marehemu bibi ameacha watoto, wajukuu, vitukuu na vining’ina.
Pili: Baba Mkubwa Mwl. Eliamani Ezekiel Njau
Mwl. Eliamani Ezekiel Njau alizaliwa mkoani Kilimanjaro wilaya ya moshi vijiji mwaka 1932, akafariki tarehe 12 Februari 2008, na kuzikwa nyumbani kwake Mamba Mkolowony huko mkoani Kilimajaro.
Marehemu alikuwa akisumbuliwa kwa muda na ugonjwa wa kisukari na saratani.
Katika uhai wake marehemu alikuwa akifundisha katika shule mbalimbali.
Marehemu ameacha Mke, Watoto kumi na mbili12 na Wajukuu.
Shukrani: kwa madaktari na wauguzi wa KCMC na sehemu nyingine walijitahidi kumsaidia marehemu kipidi cha kuugua kwake.
Tatu: Babu Adam Tengia Shongilo Tarimo
Babu Tengia Tarimo alizaliwa mkoani Kilimanjaro Mwaka 1908 na Kufariki Februari 22 2008. Marehemu alizikwa nyumbani kwake Mwika Mawanjeni Mkoani kilimanjaro.
Kwa taarifa za waganga (Madaktri) wanasema marehemu alikuwa akisumbuliwa na “Gangrene” (Local death of body tissue).
Enzi za uai wake marehemu alijishughulisha zaidi na biashara na shughuli za kilimo, ambazo aliendelea nazo mpaka alipokuwa katika hali ya ugonjwa.
Marehemu Mzee Tengia ameacha Mke (Bibi), Watoto tisa 9, Wajukuu na vitukuu.
Shukrani: Shukrani za kipekee tunamshukuru Dk. Minja wa Himo, na Dk. Musoma. Pia wauguzi wa Hospitali ya Aghakan Da-es-saalam na KCMC kwa huduma zote walizotoa ili kuweza kumsaidia merehemu babu katika kipindi cha kuugua kwake.
Nne: Mwl. Rose Edwin Njau. Mrs
Mwl. R.E. Njau ambaye alifahamika pia kwa jina Mama Eli. alizaliwa wilayani Hai mkoani Kilimanjaro mwaka 1946. alikulia huko mpaka alipokwenda kuishi na kufanya kazi mkoani Mbeya baadaye Dar-es-salaam. Mpaka alipoyaaga maisha haya. Mwl. Alikuwa ni Mwl. Mstaafu, ambapo aliwahi kuwa Mwl.Mkuu Shule ya Muhimbili, baadaye alifundisha shule ya Sekondari ya Kisutu. Pia Mwl.Njau alikuwa ni muimbaji wa muda mrefu wa kwaya kuu ya Azania Front K.K.K.T na Pia Kwaya ya Akina Mama. Alikuwa ni mshiriki wa vikundi mbalimbali vya jumuiya.
Madaktari walisema Marehemu Mama Eli alikuwa akisumbiliwa na matatizo ya moyo.
Marehemu ameacha Mme (Baba Mkubwa), Watoto na Wajukuu.
Shukrani: Tunawashukuru Madaktari na wauguzi wa Hosptali ya Kumbukumbu ya Daktari Kairuki ya mikocheni kwa huduma zote walizotoa kipindi cha ugonjwa na jamaa wote walioshiriki kipindi cha mazishi.
Mwisho Kabisa: Tunawashukuru wanajumuiya wote wa hapa Houston kwa ushirikiano wenu. Wachungaji na watumishi wengine wote wa Mungu mlioweza kujumuika nasi hapa.
Aksanteni.
Kwanza: Bibi Matemu
Mnamo tarehe 29 Disemba 2007 tulipata taarifa za kusikitisha za kuondokewa na bibi yetu mpendwa Bibi matemu aliyeyaaga maisha haya akiwa huko Marangu Mkoani Kilimanjaro. Waliulaza udongoni mwili wa Bibi Matemu tarehe 2 Januari 2008.
Bibi matemu alizaliwa mwaka 1905. Marehemu bibi ameacha watoto, wajukuu, vitukuu na vining’ina.
Pili: Baba Mkubwa Mwl. Eliamani Ezekiel Njau
Mwl. Eliamani Ezekiel Njau alizaliwa mkoani Kilimanjaro wilaya ya moshi vijiji mwaka 1932, akafariki tarehe 12 Februari 2008, na kuzikwa nyumbani kwake Mamba Mkolowony huko mkoani Kilimajaro.
Marehemu alikuwa akisumbuliwa kwa muda na ugonjwa wa kisukari na saratani.
Katika uhai wake marehemu alikuwa akifundisha katika shule mbalimbali.
Marehemu ameacha Mke, Watoto kumi na mbili12 na Wajukuu.
Shukrani: kwa madaktari na wauguzi wa KCMC na sehemu nyingine walijitahidi kumsaidia marehemu kipidi cha kuugua kwake.
Tatu: Babu Adam Tengia Shongilo Tarimo
Babu Tengia Tarimo alizaliwa mkoani Kilimanjaro Mwaka 1908 na Kufariki Februari 22 2008. Marehemu alizikwa nyumbani kwake Mwika Mawanjeni Mkoani kilimanjaro.
Kwa taarifa za waganga (Madaktri) wanasema marehemu alikuwa akisumbuliwa na “Gangrene” (Local death of body tissue).
Enzi za uai wake marehemu alijishughulisha zaidi na biashara na shughuli za kilimo, ambazo aliendelea nazo mpaka alipokuwa katika hali ya ugonjwa.
Marehemu Mzee Tengia ameacha Mke (Bibi), Watoto tisa 9, Wajukuu na vitukuu.
Shukrani: Shukrani za kipekee tunamshukuru Dk. Minja wa Himo, na Dk. Musoma. Pia wauguzi wa Hospitali ya Aghakan Da-es-saalam na KCMC kwa huduma zote walizotoa ili kuweza kumsaidia merehemu babu katika kipindi cha kuugua kwake.
Nne: Mwl. Rose Edwin Njau. Mrs
Mwl. R.E. Njau ambaye alifahamika pia kwa jina Mama Eli. alizaliwa wilayani Hai mkoani Kilimanjaro mwaka 1946. alikulia huko mpaka alipokwenda kuishi na kufanya kazi mkoani Mbeya baadaye Dar-es-salaam. Mpaka alipoyaaga maisha haya. Mwl. Alikuwa ni Mwl. Mstaafu, ambapo aliwahi kuwa Mwl.Mkuu Shule ya Muhimbili, baadaye alifundisha shule ya Sekondari ya Kisutu. Pia Mwl.Njau alikuwa ni muimbaji wa muda mrefu wa kwaya kuu ya Azania Front K.K.K.T na Pia Kwaya ya Akina Mama. Alikuwa ni mshiriki wa vikundi mbalimbali vya jumuiya.
Madaktari walisema Marehemu Mama Eli alikuwa akisumbiliwa na matatizo ya moyo.
Marehemu ameacha Mme (Baba Mkubwa), Watoto na Wajukuu.
Shukrani: Tunawashukuru Madaktari na wauguzi wa Hosptali ya Kumbukumbu ya Daktari Kairuki ya mikocheni kwa huduma zote walizotoa kipindi cha ugonjwa na jamaa wote walioshiriki kipindi cha mazishi.
Mwisho Kabisa: Tunawashukuru wanajumuiya wote wa hapa Houston kwa ushirikiano wenu. Wachungaji na watumishi wengine wote wa Mungu mlioweza kujumuika nasi hapa.
Aksanteni.
Subscribe to:
Posts (Atom)