Monday, November 17, 2008
Thursday, November 13, 2008
ISAAC M. MPATWA FORUM
Mleta Hoja Isaac Makala Mpatwa Bertha
Wapendwa, Shalom. Jesus is Lord !
This is necessary! Nadhani nikiiacha hivi, kuna idadi kubwa tu ya 'wadau' watabaki kwenye 'mataa'. Dan, I love you brother, I want to speak a little bit about you, maana nina uhakika kuna 'wapengwa' wengi wamesoma input zako na hawakuelewi na ni rahisi kukusoma vibaya na kukukikanai na hivyo kutopokea revelations na teaching zako. Wengine wamewasiliana nami kabisa, wakiwa wamechanganyikiwa man. Ok,
Dan, I must admit that, You are an Apoastal. And one character of such people as you ni 'caterpiller' made of operation (haina huruma wala softness). Nadhani pia, hata specie fulani (sio wote) ya kinabii huwa iko hivi, (katapila style) Kwamba; ina majembe nakali sana na magurudumu ya chuma na nguvu/uwezo wa ajabu sana usioweza kuzuilika kirahisi. Nasema kuhusu Dan, kwasababu ya ujumbe wake hapa chini (Pliz read it again) Nisipoweka lugha ya Mwalimu hapa, tutawaacha wengi na hata kuwapoteza.
Dan, I have always known you a 'caterpillar' since day one I saw and heard you. You are great ma'men, and I admire you, because you were designed for such a ministry. We need that. Katika Jeshi, huwa kuna sampuli nyingi za askari. Katika extreme ya upande mmoja, utawakuta askari Wapelelezi (very gentle, polite, charming, all weather immitative, lakini wana lao jambo) Lakini, katika etreme ya upande mwingine, utakutana na makomandoo (very aggresive, no smile, no greettings, no compomise, no mercy, very equiped, empowered, high ability of all things - from cooking to flying - absolutely unstoppable) Dan, this is the way nimekufahamu. And the jeshi la Bwana needs people like you ma'men! Yes!
But tunapokuwa na mixture ya watu wa 'rika' tofauti (kiimani) katika 'ukumbi' mmoja kama huu (net), ni lazima wawepo pia 'wachingaji' na 'waalimu' ili kuwasaidia 'wadau wengine' kutotema chakula muhimu wanachokiitaji, jsut because ni chamoto sana au wasiteme 'dawa' eti kwasababu ni chungu sana, kwasababu ni very 'rich' and 'healty' (even vital - kwamba U cant survive without it) kwa uhai na afya zao. Hiki kimenisukuma kuandika vitu vifuatavyo from Dan's contribution (Daniel Msokwa) na from Asanterabi Sang'enoi wa TAFES Associates. Aidha ninawashukuru wote kwa kuchangia. But binafsi nimshukuru Godfrey Mugumila na Paul Hollela. Jamani, someni tena contribution zao baada ya hili 'darasa'.
Dan Mokwa amechangia kwa ku-critise unabii na sio nabii. Asanterabi Sang'enoi amechangia mawazo yake kwa kuukubali unabii. Hapa ndipo nimeona utaofauti na mgongano. Kwa NEEMA niliyojaliwa Mimi kama MWALIMU, Nianze kwa kusema hivi;
Mungu ametuambia katika Biblia inasema, msiamini kila roho ... pimeni mambo yote, shikeni lililo jema; ina maana kwamba, si kila kitu tutakachosikia kitakuwa 100% pure. Hii ni kwasababu ya u-mwili tulioupa nafasi ya kutawala maisha katika nafasi ya roho zetu (hii ilitokea pale katika bustani ya eden siku ya anguko). Isingekuwa anguko, everything from within us would have benn a fountain of living water - just like our Father. But due to u-mwili huu jamani (the flesh, not the body - teheteheteeh, tofauti hii nitakufundisha siku nyingine). Okay, nilikuwa nasema, due to the flesh, we must expect 'impurities' from any one any time at any place, becoz we are mortal (wanadamu). Na Mungu anasema katika Biblia, ‘tunafahamu kwa sehemu tu’ 1Kor 13:12. Thats why it is written, test all things". Jamani nafikiri nimeanza vizuri hapo.
UNABII WA MTUMISHI LA VONRE CHANDLER
KWA TANZANIA.
Kaka Asanterabi, nadhani vigezo ulivyotumia kupimia unabii huu viko correct, lakini havitoshi. Nadhani uliposema unabii umekwenda sawa sawa na maandiko, hapo umepitiwa kidogo (labda kuna sentesi za unabii huu, haukuzisoma au haukuzielewa). Kaka Dan ameona tatizo, nami pia.
Kwa mfano; ...the need for the new testament five fold ministry goverment has been rescinded (cancelled) - kwamba; uhitaji wa serikali ya kikanisa la huduma tano, imefutwa. Uummm...jamani, bila hata ya kuhubiri au kufundisha sana , hii si sawa. Kwa ufahamu wangu, serikali ya Mungu ya huduma tano haitafutwa mpaka Kristo atakapokuja. Vingine nadhani umekoment sawa brother. Na wadau pia mmeipata hiyo.
Kaka Daniel, kwa sehemu kubwa uko sawa, isipokuwa hizi; Nimeona ulivyopata shida na issue ya Tanzania kung'aa duniani.
Brother, nadhani Tanzania kung'aa duniani, haiondoi ukweli wa utukufu wa Mungu kujaa duniani kote. Sioni kama vinapingana. Pamoja na overall fact ya utukufu wa Mungu kuujaza ulimwengu wote, bado sidhani kama hiyo haimaanishi nchi fulani fulani haziwezi kutokeza zaidi kuliko nyingine. Kulikuwa na wakati wa Egypt , ukapita. ikaja Israel , wakati wao pia ukapita. Then ikainuka Rumi/Rome, nao umepita. Then Europe , umepita. Now ni USA , na wakati wao bado unaendelea. At the same time, as USA iko juu zaidi, bado nchi kama Japan , Arabia , Israel , China , ziko juu pia katika ramani za dunia pamoja na kwamba ni wakati wa USA sasa. So, mimi sioni shida, kwa Tanzania pia kuchomoza duniani kwa wakati huu kati ya nchi zinazong’aa. That can happen, and I believe it will. Kwa hapo, unabii ule hauna tatizo.
Brother Daniel, nadhani pia kwa issue ya Righteousness and Peace kuwa achieved thru the political process, isn't a big issue pia.
1. Nakubaliana nawe kabisa kwamba, Ufalme wa Mungu, si wa dunia hii.
2. Pia nakubali kabisa kwamba, mara nyingi, wafalme na serikali za kidunia, zimekuwa kinyume na mapenzi ya Mungu.
3. Nakubali kwamba serikali za dunia pia zimeshiriki sana katika kuwa kikwazo kwa Ufalme wa Mungu na katika kuwatesa wakristo.
4. Pia nakubali kabisa ulivyosema "it is wronge to put hope in the political systems of this world"
5. Na ni hatari kujoin the political system for a believer as anaweza kuteleza wito wake kirahisi kwa sababu nyingi tu.
Lakini Bro, with all these points (na nyingine nyingi) HAIMAANISHI MUNGU HAWEZI KULETA AMANI KUPITIA SERIKALI FULANI YA NCHI HIYO. Ni kweli uliyoyasema, lakini still, MUNGU ANAWEZA KUITUMIA SERIKALI YA DUNIA, KULETA AMANI MAHALI FULANI. Kuna mahali umesema mwenyewe kwamba (i quote) "...If Christians want political offices, it must be because the Father is sending them there for a specific purpose..."
Nina Mifano ya akina; Joseph, Esther, Daniel, Shadrack, Abednego, n.k. waliotumiwa na Mungu katika Political Goverment Position na Mungu mwenyewe na walikuwa msaada sana kuleta Amani na Haki kwa wanyonge na uchumi wa nchi. Tena karibu wote, walifanya kazi katika ofisi zenye watu wanaoabudu miungu mingine na uchawi.
Nina Mifano ya Nchi ambazo hazimjui Mungu wetu kabisa lakini Mungu alizitumia kuwa msaada kwa Israel (Dan 9 na 10) Mungu anaahidi Wayahudi walioko utumwani kuwa Myunani atakuja kumpiga Mwajemi, na ilipotokea hivyo, Myunani akamfungua Myahudi toka katika minyororo ya Mwajemi. But Myunani huyu wala hamjui Mungu hata chembe (Dan 10:21).
Tusiende mbali sana , Tanzania yetu, thru Mwl. Nyerere, ilipokea haki na amani toka kwa wakoloni, thru a political rout, japo we of the spirit, we know, ushindi huu ulianzia rohoni kwanza. Japo kwa nje, tuliona some procedure za uganga wa kienyeji pia, but sisi wa kiroho tunajua, uhuru wa Tz ulikuwa ni matunda ya maombi ya watu wengi wa ndani na nje ya nchi, kama vile kina Mwinjilisti David Livingstone aliyekufa akipigania uhuru wa nchi za ki-Africa
Umesema pia, ni hatari kwa watu wa kanisa kutumbukia katika siasa. Mimi nadhani, pamoja na kwamba ni hatari, lakini hiyo haimaanisha, tusitumbukie katika siasa. mashujaa wengi wa imani waliishi maisha ya hatari kulia na kushoto. Uwanja wa siasa na vyeo vya kisrikali, vinahitaji wakina Yusufu na kina Esther na kina Danieli wa kanisa la Yesu la leo, ili kwenda kuugueza huu ‘mchezo mchafu’ uwe msafi. Biblia inasema wazi, Farao (kiongozi wa serikali ya nchi) aliyejmjua Yusufu, alipokufa, akainuka Farao mwingine asiyemjua Yusufu. Wayahudi waliteseka sana . So, change in the government, can affect the peace and rights of the people. Dan, mimi pia sidhani kama kile kipengele cha unabii kina shida. Labda tu, kama kilimaanisha, tuweke matumaini kwa serikali. Hapo ndipo panaweza kuwa na tatizo. Nami sikubaliani na meaning hiyo.
Pia issue ya "...some (political leaders) will die..." nadhani si lazima iwe kwa dunia nzima itokee hivyo (as you worried/questioned), but kwa specific locality, kama Mungu anakimbiza kusudi lake mahali fulani, halafu anatokea 'mjinga' mmoja kusimama katika njia ya Mungu kuwazuia watu wa Mungu, mimi naamini hili lawaeza kutokea. Si lazima iwe kote, but it can happen. Ime-happen sehemu nyingi katika biblia na katika historia zetu hapa hapa. Nadhani this is no new to you bro. Ulihoji pia sentensi iliyokuwa inasema, Mungu atatupa madini na utajiri, na ukasema hauoni kama hiyo ni sawa, as utajiri kwa kanisa la sasa, utatuharibu. Pia ulitamani kusikia kwamza Mungu aongee kuhusu kuwa watakatifu na wenye upendo (kwani hivi ndivyo vinavyoweza kuwa nguzo imara kwa mtu, ili utajiri usimharibu. Yes, mimi nakubaliana nawe kabisa Dan. But that we never know kama tayari hivyo vilisemwa katika teachings, au hata kama havikusemwa, hiyo haimaanishi unabii huo hauwezi kuwa wa Mungu.
We all know that, not every time God gives you full details about the message. Sometimes Yes, sometimes He doesn’t! Sometimes anasema nusu na anataka mfuatilie other requirements za kupokea promise yake. So, ni hayo tu kwa hiyo point. So nadhani I didn't get U wronge in the general idea of what you were trying to say brother (maana pengine hukumaanisha nilivyodhani) na wadau ambao walikuwa hawaelewi, sasa mnaelewa. Otherwise, we are all still open to hear from you ma’men for some teachings or clarifications (if any).
Kwa Wadau, Hebu sikilizeni;
Nia yetu siri kulumbana na ninaomba isifike huko. Nia ya network hii ni kusaidiana katika safari ya Kwenda mbinguni. Kusaidiana kuna kueleweshana, kufundishana, kutiana moyo na hata kuonyana na ikibidi kukemeana. Laa sivyo, hatutapona. Daktari akimuonea huruma mgonjwa wa cansa, atashingwa kumchana kwa kisu au kukata sehemu iliyoathirika. Japo inauma, but sometimes ni necessary. Kwa wale wasioelewa umuhimu wa huduma ya kitume na kinabii, hii ni sehemu yao hasa. Kukata bila huruma ili tupone. Ndio maana kuna waalimu na wachungaji, ambao wana karama na tabia laini za kupuliza na kulainisha lugha, ili wote tuweze kumeza na kupona!
Daktari anakata, manesi wanapuliza na kubembeleza. Ndio hivyo jamani. So Daniel (kwa wito wake) huwa hana 'blue band' katika 'shule' zake (sisi rafiki zake tuliomfahamu siku za nyuma kidogo, tunamjua. He is an apoastal (nionavyo mimi). Style ambayo amekuwa akitumiwa, ni … (niseme???) tehetehteh, Ni shoka kwa kwenda mbele. Then ndipo inalazimu wachungaji na waalimu kupita nyuma yake ili 'kupuliza na kulainisha'. Lakini sote tunajenga mwili mmoja na kazi ya Bwana inasonga mbele. Naamini wadau ambao walikuwa hawaelewi, sasa mnaelewa.
Ok, tuendelee. Sasa pay attention katika hizi;
1. KIWANGO CHA MAFUTA (Nguvu za Mungu).
Mafuta yetu ni Nguvu za Mungu. Na tunapotumika katika kuujemga mwili wa Kristo, huwa tunafanya hivyo kwa 'msaada' wa Mungu. 1Pet 4:11 inasema "...anayetumika, atumike kwa nguvu anazojaliwa na Bwana..." na Yesu alisema "...msotoke mjini mpaka mtakapovikwa uweza utokao juu" Luka 24:49. Nayi mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu, Roho Mtakatifu (Mdo 1:8). Nadhali hili linaeleweka. Ila kama sikosei, ambacho hakieleweki kwa wengi ni kwamba, mtu anaweza kutembea katika ujazo (viwango) tofauti vya nguvu za Mungu.
i. Wengine hutembea na nguvu nusu ya tanki
( Na hapa ndio kuna matatizo mengi sana ndugu zangu)
ii. Wengine hutembea na nguvu za Mungu full tanki.
( Na hivi ndiyo yenyewe, na tunaamuriwa katika maandiko, tuwe hivi)
· Note: Viwango tofauti vya mafuta huleta matokeo tofauti.
2. AINA YA UVUVIO (wa Karama kwa wakati ule).
Kuna wakati Mungu anakumiminia mafuta na kukuvuvia Roho wake (inspired/inspiration) katika style ya 'Full Doze' na kuna wakati Mungu anakupa 'Half Doze'
i. Full Doze Inspiration;
Hii ni ile ambayo, wakati wa unabii, mtumishi anahamishwa kabisa utu wake na akili yake inachukuliwa 100% na Roho Mtakatifu; kiasi cha kwamba, baada ya kutumiwa kinabii, inabidi hata yeye, asimuliwe kilichotokea. Wapo wengine, ambao hukumbuka alichosema, lakini hakumbuki 'actions' alizokuwa anafanya na 'reactions' zilizokuwa zinaendelea kwa washarika wakati unabii unatolewa. Full Doze style, haiwezi kuwa na dosari hata kidunchu nakwambia. It was God 100%. Hii haina shida.
* Angalizo; Mtumishi akiwa Full Doze na bado akasema kitu wronge, my dear, that is very serious, kuna aslilia kubwa ya kuwa ni pepo wa ibilisi anayesema unabii huo. Hatutegemei erros wala mistakes katika Full Doze Inspiration jamani. Mjue hilo .
ii. Half Doze Inspiration;
Hii ni ile ambayo, mtoa unabii anakuwa na akili zake zote na fahamu zote za kile kinachoendelea. Sasa, Wadau, hapa ndio huwa kuna matatizo, kwasababu, akili ya mtumishi 'nabii' huwa ina mchango katika operation hii. Mtumishi anatumika kutoa unabii huku akijua kila kinachoendelea, anaweza kuamua (note; kuamua - yeye mwenyewe na sio Mungu) kuogopa kusema baadhi ya vitu, anaweza kuamua kupumzika kwa sekunde, akanywa maji kigogo, kisha akaendelea kutoa unabii, anakuwa concious hata na muda aliotumia, n.k. (kwa mtu aliyevuviwa 100%, vitu hivi vyote hana controll navyo). Sasa, wapendwa, Hapa ndipo huwa tunakutaga baadhi ya sentensi katika unabii ambazo zinahitaji kufafanuliwa au kurekebishwa (kuwa edited) na hata sometimes kuchomolewa kabisa (kuwa deleted); Hii ni kwasababu zimekuwa na either errors au mistakes au blanders kabisa. Hii ni kwasababu, akili ya 'binadamu' ilitumika pia, kwa asilimia kadhaa - labda 30% au hata 50%.
Ukitaka kuelewa vizuri hii, soma kitabu cha Keneth Hagin, kinaitwa the UNDERSTANDING THE ANOINTING. Ameeleza vizuri sana juu ya huduma 5 za kanisa ikiwemo UNABII. Keneth Hagin, ametumika sana katika unabii na miujiza mikubwa enzi za Uhai wake (Wadau wa siku nyingi mnajua hili). Anasema, kunawakati alikuwa ananyang'anywa ufahamu na Mungu na anatamkishwa mambo. Kuna wakati anakumbuka alichosema lakini, hakumbuki kilichotokea huku 'nje'.Kuna wakati anatumiwa bila kukumbuka chochote. Na kuna wakati anakuwa na akili zote na maamuzi ya kufanya baadhi ya vitu kwa style zake tu, huku akiendelea kutoa unabii. Na mimi pia nimewahi kuona manabii wakitumika kwa style zote hizi. Labda na wewe pia. Okay tuendelee;
Tatizo jingine la HALF DOZE ni ku-connect ujumbe wa Mungu na wa binadamu hapo hapo. Mimi nimewahi kuwepo katika kongamano fulani hapa nchini miaka ya nyuma (wengine mlikuwa hamjazaliwa bado) Na Nabii huyo alitoka Marekani. Ni nabii na amaheshimika duniani. But siku ile nilifundishwa kitu na Roho wa Mungu. Unabii ulikuwa wa Mungu, lakini baada ya muda fulani, akili yake ikachukua nafasi zaidi. Na signal ya Roho ikawaka ndani yangu kuniashiria kwamba, ujumbe wa Mungu uliishia paleeeee, na kuanzia hapa, hii ni akili yake inaendelea. But si kwamba ujumbe 'wake' ulikuwa na matatizo sana , No! na scripture zilikuwepo pia, na ni maneno mazuri tu ya kutia moyo na kufurahisha watu/mtu yalikuwepo.
But mimi kwakweli, nilipewa a very clear signal kwamba, ujumbe wa Roho wa Mungu, uliishia mahali fulani, na ujumbe wa roho ya mwanadamu, unaendelea. Nilipofungua macho, nikakuta na baadhi ya 'wadau' wame-note the same thing. Mwingine alipoona inazidi kwenda 'mbali', macho yetu yakakutana; ni kama tulikuwa tunafinya na Roho kwa pamoja. Na Macho yetu yakawa kama yanaambiana ‘umeusikia mfinyo wa Roho?’ Jamaa huyu akainama, then taaaaaratiiiiiiibu akatafuta njia yake, (as tulikuwa tumeitwa ukumbu mzima mbele) akaomba nafasi kupita katikati ya umati wa watu na akarudi kukaa. Nami pia sikuchelewa maana nilishathibitishiwa moyoni kwa kuona zaidi ya watu 2 au 3 tulionasa ile signal transimited by the Holy Spirit. So, habari ndo hiyo jamani.
Na hizi errors na mistakes (hata blanders) zinatokea mara nyingi na mahali pengi tu, hata mimi na wewe saometimes, tumewahi kukosea this much; either katika kufundisha, kuombea, kuombewa, n.k. Ndiyo kanisa letu hili jamani. teheteheteheteheteh, hee! Lakini 'wadau' wengi tu siku ile, hawakuwa 'sensitive' enough rohoni mwao ku-notice the point ya unabii wa Mungu na wa mtu. Walikuwa soo deep wenyewe wakiitikia kwa aameeeeeennn!!! Kubwaaaa. (siku za nyuma, nimewahi kuchangia why this happens;
(i) Uchanga (ii) Lack of Teachings (iii) Kiburi - Lack of Grace.
(iv) Upofu/Ubutu wa kiroho. (v) Upotofu.
NIMALIZE KWA KUSEMA HIVI;
KWAKUWA SIKUWEPO WAKATI UNABII UNATIKA, SIJUI KAMA MTUMISHI ALIKUWA KATIKA FULL DOZE AU LA. KAMA ALIKUWA FULL DOZE, AND STILL KUNA MISTAKES, THEN ITS VERY DANGEROUS (As Dan shared, KUAMNINI UNABII WA UONGO, KUNA BONGE YA PUNISHMENT NDUGU ZANGU) BUT KWA SENTESI NILIZOZIONA, NINADHANI ALITUMIKA AKIWA NA FAHAMU PIA. AS SIKUTEGEMEA A VERY VIVID MISTAKE KAMA TULIYOIONA HAPO JUU.
BUT HII HAIFANYI UNABII WAKE WOTE KUWA REJECTED AS FALSE PROPHECY (as long as a human vessel ametumika, we can find errors or even mistakes katika unabii). Its common, hasa kama ‘nabii’ ni mchanga na ndio anaanza hivi vitu, au alikuwa amechoka, au amesimuliwa sana mambo ya watu ... n.k.) KAMA MAANDIKO YANAVYOSEMA, NI LAZIMA KUPIMA UNABII. AS KAKA DAN SAID, HATUKUWA TUNAMJADILI NABII, BALI TULIKUWA TUNAUJADILI UNABII. NA NDICHO MLICHOKUWA MNAFANYA WADAU. NAPENDA KUWAPONGEZA SANA . BUT NADHANI TUMEONA WOTE, UNABII ULE ULIKUWA NA SOME SENTENSES ZA KUWAREKEBISHWA. Haya!!!
JE, NI UNABII WA MUNGU AU WA MTU?
Tehetehetehet; Najua wengi mnasubiri nitamaliziaje, OK, iko hiviii; Nadhani kazi yetu Kanisa ni KUSIMAMA KWENYE ZAMU ZETU as the CHURCH na kuwa SENSITIVE rohoni. Kupata Mafundisho mazuri, Kujua Neno, Kudumu ktk Maombi na Utakatifu, Kunyenyekea na Kuongozwa na Roho. Hii ndiyo muhimu zaidi. Maana kuna vitu vingi tu havikuandikwa katika Biblia (Logos) lakini vipo katika NENO (Rhema na sio Logos) na Roho anaweza kumuongoza mtu kuvifanya leo (Rhema) - I hope sijatibua Discussion nyingine hapa. tehetehetehetehet !!!
Kaka Cosmus Kisela alichangia kusema, 'TUACHE LONGOLONGO na MALUMBANO na TUPIGE KAZI' (Nime-paraphrase). Dada Siana Nkya alisema 'Lets keep focus on Jesus and our Calling. Hatutakiwi kudelay wala hatuhitaji kukwama, eti kwasababu kuna unabii umetoka. Let them not stop you. Nadhani tufanye hivyo. Kama ni wa Mungu, UTATATOKEA. Kama Si wa Mungu, HAUTATOKEA. It is as simple as that !!!
Soma Hii;
Deut/Kumb 13:1 na kuendelea, inasema;
"Someday a prophet may come along who is able to perform miracles or tell what will happen in the future. Then the prophet may say, "Let's start worshiping some new gods--some gods that we know nothing about." If the prophet says this, don't listen! The LORD your God will be watching to find out whether or not you love him with all your heart and soul.
Deut 13:4 You must be completely faithful to the LORD. Worship and obey only the LORD and do this with fear and trembling,
Deut 13:5 because he rescued you from slavery in Egypt . If a prophet tells you to disobey the LORD your God and to stop worshiping him, then that prophet is evil and must be put to death. "
Deut 18:19 Since the message comes from me, anyone who doesn't obey the message will have to answer to me.
Deut 18:20 But if I haven't spoken, and a prophet claims to have a message from me, you must kill that prophet, and you must also kill any prophet who claims to have a message from another god.
Deut 18:21 You may be asking yourselves, "How can we tell if a prophet's message really comes from the LORD?"
Deut 18:22 You will know, because if the LORD says something will happen, it will happen. And if it doesn't, you will know that the prophet was falsely claiming to speak for the LORD. Don't be afraid of any prophet whose message doesn't come from the LORD.
Nakumbusha; usiache kusoma comment za Kaka Paul Hollela hapa Chini, na za Kaka Godfrey Mugumila. (Haimaanishi wako 100% correct, but its just good points kama zako)
Love you all, Marn-atha.
Mgisa Mtebe,
0713 497 654
.
From: Daniel Musokwa [mailto:musokwajr@yahoo.ca] Sent: 11 November 2008 23:29Subject: Re: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Hello list,Please forgive the long letter friends.
I think it behooves us to know and understand what the Scriptures teach about prophesy. We have every right to study and show ourselves approved. When we stand up to weigh prophecies that have been given, we are not passing judgment upon the prophets themselves, rather we are judging the prophecy... and this is godly and HIGHLY recommended. We are not criticizing anybody, but if you claim to be God's spokesperson you had better get your facts straight. There are spiritual protocols to be observed in prophecy as well as in all matters prophetic. One can't just utter unscriptural nonsense and expects us to believe that it is the Word of God; I don't care how big they are or how long they've been in the ministry. For one to prophesy or speak the very express Words, Will and Thoughts of the Almighty God he must be moved by the Spirit of God and his words will NOT CONTRADICT the Scriptures which even Peter calls "a more sure Word" - 2 Pet 1:19. Any so-called prophecy that blatantly disregards the Scriptures can itself be safely DISREGARDED and DISCARDED. I cannot stress this point enough.The Lord's apostles and prophets always 'signed' prophecy from God as absolute:
"Says the Lord" - used 225 times
"Says Jehovah" - used 566 times
"Says God" - used 3 times
"Says your God" - used 3 times
"The Holy Spirit says" - used 2 times
Etc.
The reason the apostles and prophets included this "signature" in their prophecies was to bind the PROPHECY and THEMSELVES to God's INTEGRITY by putting His reputation on the line... it was like an oath... like a legally binding contract or statement in which God is made liable and the prophet accountable. You hear people say "prophecy doesn't have to begin or end with 'thus saith the Lord'", but the problem is, IT DOES and the Scriptures affirm it throughout the two testaments.1 Cor 7:10 And to the married I command (not I, but the Lord), a woman not to be separated from her husband. Look at 1 Corinthians 7:10 above, Paul was very categorical about this and he made so clear and in no uncertain terms the distinction between when he was speaking and when the Lord was speaking through him. Now look again...1 Cor 7:12 But to the rest I speak, not the Lord, If any brother has a wife who does not believe, and she is pleased to dwell with him, do not let him put her away. Did you just see that? Paul is very careful to appropriately label the message coming out of his mouth as either being from the Lord or himself. If he wanted to air his feelings and opinions he did it freely, but when he spoke for God he also did it with conviction... there was no guess-work in what he did. Look again...Rom 3:5 But if our unrighteousness commends the righteousness of God, what shall we say? Is God unrighteous who lays on wrath? (I speak as a man.) Don't you just wish that we ministers were all as honest? It is of paramount importance for ministers to understand that they cannot just name themselves "Prophet" so and so if God has not specifically called them into that office! Can you imagine Elijah or Elisha or Jeremiah or Isaiah or Daniel saying "I feel like God is going to incite the Babylonians to destroy Jerusalem between 2002 and 2020"? Can you imagine that? That would have been disastrous! They would say "Thus saith the Lord of Hosts, because of the wickedness of My people Israel , I will bring destruction to Israel at the hands of the Babylonians before next winter". Prophecy does not have to be cute or palatable for it to be acceptable, it just has to be the Word of God. TRUE prophets never 'prophesy' what they "feel like", they just report what "HE SAYS"... good or bad... they report it as it is!Jer 14:14-15 And Jehovah said to me, The prophets prophesy lies in My name; I did not send them, nor have I commanded them, nor did I speak to them. They prophesy to you a false vision and a worthless divination, and a thing of no value, and the deceit of their heart. So Jehovah says this concerning the prophets who prophesy in My name, and I did not send them; yet they say, Sword and famine shall not be in this land; by sword and famine those prophets shall be consumed. Notice that there are so-called 'prophets' whom the Lord DID NOT SEND! He says "they prophesy to you a false vision and a worthless divination, and a thing of no value, and the DECEIT of their heart." These people are already deceived themselves, so it follows that even their prophecies are deceived and deceptive. Most of these people don't even know that they are deceived... they think they are right... this happens when Scripture is constantly ignored and a god-complex develops in a minister. In verse 13 the false prophets prophesied that no sword or famine would devour the people, but God declared in verse 15 that the prophets themselves would be DESTROYED by the sword and famine that was to come. If any of you out there thinks he is a prophet, then he better be quiet until he knows for sure that God is speaking through him. And if any of you out knows that he is a prophet, then he better speak only when God speaks. There are severe consequences even to the listeners of your prophecy if they believe you about something heaven did not commission you to say:Jer 14:16 And the people to whom they prophesy shall be cast out in the streets of Jerusalem because of the famine and the sword; and they shall have none to bury them, either them, their wives, nor their sons, nor their daughters. For I will pour their evil on them. How's that for size? Here God punishes even the people who believed in the false prophecy!!!! Why? Because it is our honoured duty to judge every prophecy! Just because a prophet prophesies sword and famine does not mean that he is a dooms-sayer and should not be listened to. That prophecy should be tallied or measured against the moral condition of the society it is aimed against, and most importantly, against the Scriptures.Jer 23:14 I have also seen in the prophets of Jerusalem a horrible thing; they commit adultery and walk in falsehood. They also strengthen to the hands of evildoers, so that none returns from his evil; they are all of them like Sodom to Me, and its inhabitants like Gomorrah . I think these prophets were adulterating themselves in more than just the sexual way, they were also paying homage to false gods. They also STRENGTHENED THE HANDS OF EVILDOERS. Do you know 'prophets' and 'bishops' in your land today who strengthen the hands of evildoers by seeking approval and acceptance from them? I see so many who want to be close to the president or to other government officials... even those who are corrupt and evil... they do not rebuke their evil in the name of Jesus... they just smile at them and tell them "God bless you sir". They strengthen the hands of evil doers! What happens when they do this? Evil prospers in the land and "none [of these evil leaders] returns from his evil." How can they fear God and repent if the so-called 'light of the world' seeks to kiss their evil hands at every available opportunity.Jer 23:16 So says Jehovah of Hosts, Do not listen to the words of the prophets who prophesy to you. They make you vain; they speak a vision from their own heart, NOT out of the mouth of Jehovah. Jer 23:17 They still say to those who DESPISE Me, Jehovah has said, "You shall have peace!" And they say to everyone who walks after the stubbornness of his own heart, "No evil shall come on you!" These false prophets prophesied wealth and prosperity to a people who despised God and who walked in the stubbornness of their own hearts. God commands you "DO NOT LISTEN TO THE WORDS OF THE PROPHETS WHO PROPHESY TO YOU". Any prophet who is not calling the church in Tanzania to walking in LOVE, UNITY, INTEGRITY, REPENTANCE and the 'GOSPEL OF THE KINGDOM' can be safely ignored. God is more interested in the holiness of your heart than He is your farms!!! He is more interested in you fulfilling His purposes than in your cars! So prophets who sugar-coat the truth for earthly gain must be ignored.Jer 23:21 I have not sent these prophets, yet they ran; I have not spoken to them, yet they prophesied. Jer 23:22 But if they had stood in My wisdom and had caused My people to hear My Words, then they would have turned them from their evil way and from the evil of their doings. True prophecy must TURN PEOPLE OR A NATION FROM THEIR EVIL WAYS !! It is not just a promise of better earthly jobs and better cooperation between denominations. Jer 23:25 I have heard what the prophets said, who prophesy lies in My name, saying, "I have dreamed, I have dreamed." Jer 23:26 How long shall this be in the heart of the prophets who prophesy lies? But they are prophets of the deceit of their own heart, Jer 23:27 who plot to cause My people to forget My name by their dreams which they tell, each one to his neighbor, as their fathers have forgotten My name for Baal. The visions and dreams of a prophet must tally with the reality of a society and the Scriptures pertinent to such societies. Here God was lamenting prophets who claim to have dreams and words from God, but this was just not so! Then He says...Jer 23:28 The prophet who has a dream, let him tell a dream. And he who has My Word, let him speak My Word faithfully. What is the chaff to the wheat? says Jehovah. Jer 23:29 Is not My Word like a fire? says Jehovah; and like a hammer that breaks the rock in pieces? God says if a prophet has a dream or a Word from God let him communicate it faithfully. When He says "what is chaff (pumba/makapi) to wheat?" He actually means that when TRUE prophecy is communicated faithfully, that which is FALSE shall not be able to stand against it. What is chaff to wheat? Then He asks in verse 29, "is not My Word like a fire?; and like a hammer that breaks the rock in pieces?" How true! When the true Word of God is spoken, it breaks all that is false and of man.Jer 23:30 So Jehovah says, Behold, I am against the prophets who steal My Words each one from his neighbor. Jer 23:31 Jehovah says, Behold, I am against the prophets who use their tongues and say, "He says". Jer 23:32 Jehovah says, Behold, I am against those who prophesy false dreams and tell them, and cause My people to go astray by their lies and by their lightness. Yet I did not send them nor command them; therefore they shall NOT PROFIT this people at all, says Jehovah. Jer 23:33 And when this people, or the prophet, or a priest, shall ask you, saying, What is the burden of Jehovah? You shall then say to them, What burden? I will even forsake you, says Jehovah. Jer 23:34 And as for the prophet, and the priest, and the people, who shall say, The burden of Jehovah, I will even punish that man and his house. God is against ministers who copy their neighbour's revelation and present it as their own... as something the Lord unveiled to them personally. He is against false prophets and says that they "DO NOT PROFIT" the people at all! False prophets who pretend and presume to speak for God are the biggest danger to the church.Now, back to the prophecy on Tanzania by LaVonre Chandler. I have read and re-read the prophecy and I must note a few things in it. The prophecy is long but i must just comment on a small section of the prophecy. The prophecy makes some major assumptions, some of these are:
That righteousness and peace can be achieved through the political process.
That the need for the New Testament five-fold ministries government has been rescinded (canceled)
Please listen friends; every prophecy (however plausible or believable) MUST ALIGN WITH THE WRITTEN SCRIPTURES!!! I cannot possibly over-emphasize this point. Let us deal with the first assumption:From paragraph three of the said prophecy the prophet reports that God says He "...shall overthrow the seats of the council. I shall shake the political systems. I shall remove in one hour those who are not of Me and I shall put in the seats of the council My chosen ones. Some shall be exposed, some shall remove themselves and some shall die. This nation shall have the president who is my chosen son." This, to sample just a notion. People give such prophecies because of the mistaken assumption that God wants to create a Utopia or a heaven in the midst of the present fallen Babylonian system. This prophesy assumes that man can make the world a better place. It is this kind of assumption in people's hearts that makes them believe that had they been in the place of either Adam or Eve they would not have sinned against God in Eden . There is nothing inherently good in man (saved of not) to effect righteousness on a national or global level...1Jn 1:8 If we say that we have no sin, we deceive ourselves, and the truth is not in us. Every human being, saved or not, was born in sin and that is why Paul says in Romans that we are still awaiting the "final redemption of our bodies" because even though we are saved we are still earthbound. Romans 3:23 declares the human condition that all have sinned and are fallen short of the glory of God. Yes, it's good to have godly men in leadership positions in the country, but that is not enough to spark righteousness in the world! Assume all the members of parliament and all government officials were saved and filled with the Spirit of God, would that have changed the fact that Christian Pastors hate one another? Would it have changed the fact that there is currently NO love in the church? I can find more love and acceptance with homies smoking weed than among Christians, can Christian political leaders change that if church leaders have not been able to? We have seen pastors and bishops come into leadership and after a while they become greedy, selfish and ungodly; would this change if this country was somehow "Christian"? If our political leaders were all saved then the problems we see in the church now would simply become nationwide problems. Government leaders steal EPA money and the teachers' salaries, but bishops and pastors steal donations, tithes and church resources for personal gain and comfort!! What righteousness do we have in the church that could shame the government of Tanzania ?? I am not just talking about things I do not know or theories here... this is very real!Jer 17:5 So says Jehovah, Cursed is the man who trusts in man, and makes flesh his arm, and whose heart departs from Jehovah. If we put our hopes in man (saved or not) we are very much cursed. I DO NOT oppose Christians seeking public offices, in fact I encourage it, but I oppose hoping in man to make a difference in the human condition! One of the biggest mistakes that the evangelical church has made in the U.S. was to think that they could legislate sin and evil away. They thought that passing laws against abortion and homosexuality would somehow bring righteousness. But quite the opposite, our fight is NOT against flesh and blood. You cannot sit in a political body and legislate sin away or legislate righteousness into people's hearts. All you can do is sit there and do righteousness yourself! I said it before and I say it again, OIC or not, the TRUE church of the New Testament cannot be affected! Whether Emperor Nero is on the throne or Osama Bin Laden or Bishop Desmond Tutu, the true church remains unshaken and unaffected. Actually, history tells us over and over again that strong and brutal persecution makes the church stronger. Peace and apathy make the church the way it is now... people are too busy and prosperous to pay attention to the unseen world... end up perishing for lack of knowledge. We MUST focus on the Kingdom of God , not political positions to bring change. YES we need more righteous leaders... but they are not the Messiah. We cannot establish a Kingdom of righteousness here on earth, Christ will do that when He comes back. Right now our duty is to fulfill the great commission, to love God and to love our neighbour. This is bigger than we know.Joh 18:36 Jesus answered, My kingdom is not of this world. If My kingdom were of this world, then My servants would fight so that I might not be delivered to the Jews. But now My kingdom is not from here. Joh 18:37 Pilate then said to Him, Are you a king then? Jesus answered, You say it that I am a king. To this end I was born, and for this cause I came into the world, that I should bear witness to the truth. Everyone who is of the truth hears My voice. It seems the bone of contention between Pilate and Jesus was His Kingship. But Jesus stated "My Kingdom is NOT OF THIS WORLD", then He said "if My Kingdom were of this world, then My servants would fight to keep Me from being delivered to the Jews." This is a very telling exchange. The Greek word translated "WORLD" in this exchange is "KOSMOS", which means "an orderly arrangement" or "the world". Jesus was telling Pilate "My Kingdom is not of the same arrangement or of ways similar to those of this present earthly system". Do you remember how many times Jesus had to hide because the people wanted to make Him King by force? Why did Jesus refuse? Wouldn't it have been advantageous to His mission to have earthly authority also? But you do not overthrow Adam's folly through political means, only through spiritual means can we truly make a difference. Sinners sin, that's what they do best. Why do we wonder that our politicians sin? First and foremost they are sinners, so sin is what should be expected of them! At least they are consistent in what they are supposed to do. But Jesus is already King, and He was already King even at the time of Pilate. It's just that the world is not used to His kind of politicking. He rules through an invisible Kingdom and His rulership is over the hearts of men and the spiritual realm.Heb 13:13-14 Therefore let us go forth to Him outside the camp, bearing His reproach. For here we have no continuing city, but we seek one to come. It is wrong for us to put hope in this world and its systems of government. Christians need not be concerned by their particular national boundaries... Christianity itself is a Kingdom and it spans the whole world! Yes, I cannot just walk into Kenya without the government's permission but in my heart the Christians who are in Kenya are as much my countrymen as Tanzanian Christians. I relate more to my Blood-of-Christ relatives than even my blood relatives:Mat 12:46-50 But while He yet talked with the people, behold, His mother and His brothers stood outside, desiring to speak with Him. Then one said to Him, Behold, Your mother and Your brothers stand outside, desiring to speak with You. And He answered and said to him who told Him, Who is My mother? And who are My brothers? And He stretched out His hand toward His disciples and said, Behold, My mother and My brothers! For whoever shall do the will of My Father in Heaven, the same is My brother and sister and mother. In today's world this would have been considered a great act of disrespect and rudeness, refusing to go out to listen to your mother calling you. But Jesus was laying down a principle here that we are more related to those who DO THE FATHER'S WILL (God's sons) than even our parents or earthly relatives. Most political parties would never be able to have among them a TRUE CHRISTIAN because righteousness would push him to seek to expose all sin and wickedness. They would fire or kill him in a few hours. In Christianity there is no such thing as political correctness, SONS confront the evil that is around them. But if a Christian was a member of parliament in a political party called DDN and were aware that his/her leader has taken someone else's wife (Mark 6:16:20), would he publicly confront his leader? What if you are a member of CCM and you know for sure that it's government is keeping back the wages and pensions of retirees or that they've swindled EPA funds (if at all)...would you or I be able to say...Jas 5:4-6 You refused to pay the people who worked in your fields, and now their unpaid wages are shouting out against you. The Lord All-Powerful has surely heard the cries of the workers who harvested your crops.While here on earth, you have thought only of filling your own stomachs and having a good time. But now you are like fat cattle on their way to be butchered. You have condemned and murdered innocent people, who couldn't even fight back. Trying to join the politics of this world is dangerous for any true believer... but then again...2Ti 3:12 Yea, and ALL who desire to live godly in Christ Jesus will be persecuted. There will never come a time (before the rapture) when true believers are not persecuted. God is not concerned with putting Christians in political offices. If Christians want political offices it must be because the Father is sending them there for a specific purpose... which cannot be to create heaven on earth... that is counter-Cross!! No Christian has a career other than being an Ambassador of the Kingdom of the Most High... sometimes God puts us in various positions as His agents for Kingdom purposes (which may include financing Kingdom endeavours). LaVonre's prophecy says "some shall die", talking about unsaved political leaders. I wonder. I just wonder if all ungodly leaders in the world are going to die to make way for saved leaders! If not, why just Tanzania ? In the New Testament God does not deal with individual nations, but His covenant is to all the gentiles and Jews! This part of LaVonre's prophecy cannot be supported by the New Testament Scriptures. LaVonre says " Tanzania shall be known all over the world for the glory of God from the highest seats to the lowest." This sounds very nice, and I want to believe it so terribly... had it not been for such Scriptures as...Isa 11:9 ...for the earth shall be full of the knowledge of Jehovah, as the waters cover the sea. and;Hab 2:14 For the earth shall be filled with the knowledge of the GLORY of Jehovah, as the waters cover the sea. Prophets Isaiah and Habakkuk both prophesied that a time was going to come when the glory of the Lord shall cover the WHOLE EARTH so totally and completely as the waters cover the sea-bed! This does not jive with LaVonre's prophecy that Tanzania shall be known all over the world for the glory of God! No, the whole world will know the glory of God working in their own midst and abroad... no more countries in the New Testament, but the whole world is now God's target. In the New Testament God deal with the whole world together, do not be deceived into national patriotism... you are loyal to one Kingdom only... the Kingdom of the Most High. "Here we have no lasting city." The apostles ministered mostly beyond their own country of Israel . Forget this national stuff; love God and love your neighbour wherever you are, period! I conclude, therefore, that it is highly improbable that the glory of God will come to Tanzania only. There's an eschatological schedule which is already unfolding globally. Christians need to think globally now, "... for God so loved the WORLD...", that's the New Testament!! The glory of God is going to cover the whole earth... but history has shown us that the more the glory, the greater the persecution. "...for we have no lasting city here, but we seek the one to come - Heb 13:13-14."Just because prophecy sounds palatable doesn't meant God said it. As we've seen in Jeremiah, sometimes prophecies comes from men's hearts, some are (unknowingly) just personal good wishes. LaVonre has talked about God revealing minerals to His saints in Tanzania ... I certainly am excited about this too. I pray that it will come true. Something may be a good prediction without necessarily being the express Word of prophecy from God. Certainly there are Scriptures which support this silver and gold thing coming into the hands of Christians. But the only questions is, "are there no requirements (like love or holiness or unity) to aligning ourselves with God's promises"? Wealth belongs to the Kingdom for the Kingdom. God cannot release it to a selfish church. So may be before prophesying wealth and prosperity we need to concern ourselves with prophesying love first. If say all the gold and silver in Tanzania was released into the hands of the church (in its present state), can you predict what will happen TO the church and TO ministry? The prophets of the Scriptures warned and set-right before they could bless... you can prove it yourself. The way the church is right now, excessive wealth would just destroy it completely... and you know this to be true! So right now God is concerned with our hearts than our pockets. Hearts first, pockets will follow. 2 Pet 3:13 But according to His promise, we look for new heavens and a new earth in which righteousness dwells. Therefore, beloved, looking for these things, be diligent, spotless, and without blemish, to be found by Him in peace. We cannot enforce God's righteousness here on earth, that will never happen! Even the most mature democracies in the world, like the U.S.A. , have extreme levels of corruption and injustice. There can never be a righteous kingdom on this earth except one that Christ will establish when He comes back. Peter tells us that we, Christians, are looking for NEW heavens and NEW earth wherein dwells RIGHTEOUSNESS. These guys were not out to "make the world a better place"! That's a Hollywood slogan... it's a political gimmick... it is what miss world says after winning the crown. But it is NOT our spiritual reality, according to the Scriptures the world will get worse and worse before Christ comes. Christ is not coming back to a fat-cat church but to a people who tirelessly watch in the night. I still fail to understand the first paragraph of LaVrone's prophecy when he says "... time has come to rule." Do you think when Jesus comes back He will find Christians ruling the unbelievers politically and economically? Think again. There's a way to be called a "ruler" in the spirit, not through money and political power. You can have all the power and money and still be abused in every possible way every night by a financially poor witch. Unless LaVrone meant spiritual rulership, then yes, by all means it is time. CHRISTIANS WILL NEVER RULE THIS WORLD BEFORE CHRIST COMES BACK!!In the second assumption, LaVrone assumes that the five-fold government of the church has been canceled. This is just simply wrong:Eph 4:11-14 And truly He gave some to be apostles, and some to be prophets, and some to be evangelists, and some to be pastors and teachers, for the perfecting of the saints, for the work of the ministry, for the edifying of the body of Christ. And this UNTIL we all come into the unity of the faith and of the knowledge of the Son of God, to a full-grown man, to the measure of the stature of the fullness of Christ; so that we no longer may be infants, tossed to and fro and carried about by every wind of doctrine, in the dishonesty of men, in cunning craftiness, to the wiles of deceit. This describes the concept of the New Testament church government. Here's the summary:Christ gave gifts to the church in the form of:
APOSTLES,
PROPHETS,
EVANGELISTS,
PASTORS and
TEACHERS
Their job description is:
For the PERFECTING OF THE SAINTS
For the EDIFYING OF THE BODY OF CHRIST.
When will their task expire? It will not expire "UNTIL we ALL come into...
... the UNITY OF THE FAITH, and
... the KNOWLEDGE OF THE SON OF GOD...
such that we become...
... a FULL-GROWN MAN,
... men who have ATTAINED THE MEASURE OF THE STATURE OF THE FULLNESS OF CHRIST,
... NO LONGER INFANTS
If we have not yet attained the above criteria, we still need the five-fold ministry and no other. LaVrone mentions the cooperation between the Bishops and Prophets, he does not mention of the other four offices (which don't include the bishop). This is a grave error of judgment and error of omission on LaVrone's part. Jesus will not return to a church which does not respect the GIFT He gave it for a purpose. According to the Scriptures, the bishop (Grk; EPISKOPOS) is simply "an overseer", and they were under the Pastor, who was under the Apostles and Prophets. A Bishop is, in effect, a church elder... not it's overall leader. This Bishop thing came through the papacy (the Roman Catholic church), it is never a biblical model. God knowing fully well that His Son had established the five-fold ministry leadership to govern the church would never have contradicted Himself by talking about "Bishops and Prophets" and church leaders. LaVrone had a good idea here, but in converting it to a prophecy he made a grave mistake.Read Luke 11:49; I Cor 12:28, 1 Cor 12:29; Eph 2:20; Eph 3:5; Eph 4:11; 2 Pet 3:2 and Rev 18:20. No mention of "Bishops and Prophets" anywhere... it is always just "Apostles and Prophets". I highly doubt God could make such an obvious error of judgment. God is bringing back what the enemy tried to suppress. He is bringing back the five-fold government. Through the Scriptures we know that all prophecies pertaining church leadership must be about the five-fold ministry. Why would the prophets work with the bishop, all the way down the governmental ladder, and not with the Apostles or Pastors or Teachers or Evangelists?I know this sounds a bit harsh, but the Scriptures leave no room for personal preferences and opinions. Either what the prophet says is true or what God says is true.We need to be careful to call "prophecies" things which might be just:
Personal opinions,
Wishful thinking,
Good ideas,
Predictions, or
Deductions
Brother Isaac, this is simply my opinion as i understand the Scriptures. I am not saying LaVrone is a false-prophet because I do not see what he was saying here as prophecy that is specific to Tanzania . I just know that he wishes our country well, and I love him for this. When he talks about God sending in more angels, I don't know, I thought they've always been here because His people and Spirit are already here. The rest is too generic or direct quotes from biblical scenarios to be called 'fresh prophecy' that is Tanzania-specific. May be LaVrone Chandler is a prophet, but he was not speaking FOR or AS God in this occasion... in my opinion. I was also blessed when he called people to repentance and when he denounced ministers who get drunk on popularity and reputation. In my opinion the church desperately needs this message, except may be, for the two major assumptions that I have pointed out. Bro, true "prophecy" is not the same as man's opinions... even if those opinions are good and biblical or semi-biblical. Prophecy is God possessing a man and then speaking via the faculties of his lips and his tongue. Prophecy will never contradict the written Word. We must all judge prophecy... not the prophet.Bless you bro,Dan
From: TAFESAssociates@yahoogroups.com [mailto:TAFESAssociates@yahoogroups.com] On Behalf Of Asanterabi Sang'enoiSent: 11 November 2008 16:54To: TAFESAssociates@yahoogroups.comSubject: Re: [TAFESAssociates] RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Nami nichangie kidogo mada hii. Kwanza kila aliyenena huku amechangia vizuri. Hata hivyo wengi wamejikita kwenye unabii kwa ujumla wake badala ya kucomment huu unabii specifically. Mie nionavyo naona huu ni unabii wa kweli kwa sababu zifuatazo:
1. Unathibitisha kile ambacho Mungu amekwishasema kupitia vinywa vya manabii wengine hapa nchini. kwa mfano:
Tanzania shall be known all over the world for the Glory of God from the highest seats to the lowest. Tanzania shall be known for prosperity that is in her land because of my people for I have hidden treasures in the grounds of this land that shall be discovered. I have hidden these treasures until this timing on behalf of the saints. The silver is mine and the gold is mine, 'Watch and See' for what was hidden shall be revealed
2. Umetolewa na mtu kutoka nje ya nchi ambaye hakujua kinachoendelea hapa kwetu na nimeelezwa kuwa huyo mtumishi wa Mungu alikuwa amealikwa kuendesha semina hapa nchini na unabii huu alipewa alipokuwa akiendelea na huduma hiyo.Vilevile haya mambo aliyoyasema yameanza kutokea(tumeanza kuona mwelekeo wake) kwa mfano:
I shall overthrow the seats of the council. I shall shake the political systems. I shall remove in one hour those who are not of Me and I shall put in the seats of the council my chosen ones. Some shall be exposed, some shall remove themselves and some shall die. This nation shall have the president one that is my chosen son. There shall be uproar, but know that which I have spoken will be.
I shall overthrow every prideful and lofty thing. This not only speaks of the political system and the social system, but I say even those things exhausted in my church that are not of Me.
Many of my called ministers have gone this way and they are in pulpits, yet they are back slidden and away from me in their hearts. They must fall upon their knees, humble themselves, and repent
3. Unabii huu haupingani na maandiko matakatifu. kwa mfano:
Remember your fight is not against blood and flesh but against principalities, against powers, against the rulers of darkness of this age, against spiritual hosts of wickedness in the heavenly places.
"The Battle is the Lords"
Mwisho niseme hivi, mara nyingi kutimizwa kwa unabii kunategemea kanisa (watu wa Mungu wanakaaje) Unabii mwingine unatimizwa kwa kuomba. Unakuta kuwa Mungu amekusudia kufanya mambo mema lakini kanisa halijakaa katika position ya kupokea. Au kam ni unabii wa adhabu Mungu anaweza kughairi watu wake wakitubu dhambi zao. Aidha, sijaona popote kama huu unabii unaogopesha isipokuwa wale waovu ndiyo waogope maana inaonekana wazi kuwa adhabu itashuka kwa waovu lakini kanisa lake litalindwa kama likikaa katika mpango wake. NB Kila unabii kabla haujatimizwa huwa shetani atataka kuwakatisha watu tamaa lakini hatimaye kile Mungu alichosema kitatimia tu. Tuendelee kuomba tu maana Bwana amekusudia mema kwa ajili ya nchi yetu. Tusipoomba na kukaa katika position anayotaka, adui anaweza kupata nafasi akaharibu.
From: Paul Holela [mailto:holela@ce.udsm.ac.tz] Sent: 11 November 2008 15:48To: Isaac MpatwaSubject: Re: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Shalom Watumishi Bwana YESU asifiwe,
Mimi nina imani ya MUNGU kuwa Tanzania inaelekea kwenye utukufu( imani siyo hisia...huja kwa kusikia neno la Kristo...)
Tuangalie haya machache halafu twaweza pata nini tufanye......
Sisi tunaoitwa kwa jina la MUNGU tunaweza kutengeneza mazingira ..... kutengeneza mioyo yetu...maisha yetu kwa MUNGU au kuenenda kwa ukamilifu mbele za MUNGU , naye atatuletea mema juu yetu, juu ya vizazi vyetu, juu ya nchi yetu angalia kutoka 20:6
pia angalia habari za Ibrahim na vizazi vyake kuanzia mwanzo 12 na kuendelea....
Daudi na vizazi vyake kitabu cha Samwel na wafalme......
Suleimani alienenda kwa ukamilifu na MUNGU akambariki na kutabiri mema juu yake na nchi yake na vizazi vyake.....na alipokengeuka MUNGU huyo huyo aliugawanya ufalme...
Hali ya mioyo yetu Kwa Bwana YESU ikoje? ni jambo la muhimu kuangalia ........
kuna mifano mingi sana ila..... Tumtake Bwana na nguvu zake......
Niongeleee kidogo kuhusu Nabii, Nabii ni mtu anayesimama kati ya wanadamu na Mungu ila ni kwa niaba ya Mungu.....yupo upande wa MUNGU ....Nabii ni rafiki wa MUNGU siyo rafiki wa wanadamu, nabii anasema msimamo wa Mungu juu ya watu fulani au nchi fulani kulingana na kilichopo katikati yao au mbele yao......tofauti na kuhani ambaye anasimama kati ya MUNGU na Mwandamu kwa kusaidia mwanadamu au kwa ajiri ya wanadamu.......
Angalia mfano huu Nabii isaya anatabiri Hezekia mfalme atakufa....ndicho mbingu zilichosema ISAYA 38:1....
Hezekia alipoomba......ISAYA 38:4......mbingu zikabidili msimamo Isaya huyo huyo akasema hatakufa. ..... waweza kuona Nabii asivyo upande wa binadamu....
kuna mifanao mingi Soma kitabu cha Wafalme utaona.......
Sisi kama Taifa teule, watu wa milki yake MUNGU, tunaoitwa kwa jina lake MUNGU tunaweza tukafanya baadhi ya mambo hapo chini na Nchi yetu ikabadilika,MUNGU akasimama kama mfalme ktk yetu na maarifa ya UTUKUFU WA MUNGU yakaijaza nchi yetu......
Tubadilike namna tunavyofikiri juu ya nchi yetu......tuanze kuona namna MUNGU alivyotukusudia tuwe....au Mungu anavyotuona. angalia mithali inasema uonavyo nafsini mwako ndivyo utakavyo kuwa......au uwazavyo kwenye fikra zako ndivyo utakavyokuwa.... mawazo huvuta vitu/hali tunazozitaka ...... efeso 3:20 .......mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo,........ kuna uhusiano wa mawazo yetu na majibu ya maombi yetu..... Divai mpya hukaa kwenye viriba vipya tubadili mtazamo tupate mtazamo wa KI-MUNGU juu ya Tanzania ....tuache wanasiasa waseme ya kwao na sisi tuseme ya KI-MUNGU, Soma vizuri 1Kor 2:12 utaona namna ya kupata hayo mawazo.
Tuanze kujifunza na kuomba maombi ya Kuusimika ufalme wa MUNGU nchini petu Mathayo 6:9..... Hapa ni vema tupate shule ya maombi ya kumiliki na kutawala ya Mwl C Mwakasege..........Ni Vema kupata muongozo wa Roho Mtakatifu hapa kwa hiyo ni vema tujifunze kumsikiliza Roho Mtakatifu atuongoze tuombeje? ni vema pia kujifunza sana juu ya Ukuhani Wa Kifalme.....
Tujifunze namna ya kumjengea MUNGU madhabahu ktk maeneo yetu baada ya kuzibomoa za Madhabahu za adui tujifunze hawa wenzetu wa kwenye Biblia walivyofanya kina Ibrahim, Yakobo,Joshua,Elijah, Daudi Na wengine........ Fuatilia kujifunza masomo ya kumjengea Bwana Madhabahu.
Rudia kuhakiki kama misingi ya maisha yako ipo vema kwenye neno la MUNGU....angalia kama una imani ya KIMUNGU kwenye maeneo kadha wa kadha ktk maisha yako Mathayo 7:24-27
Kila mmoja wetu kwa nafasi yake, ngazi aliyonayo na imani aliyonayo tuyatoe maisha yetu ktk maombi kwa ajili ya Taifa letu.............tuache kulumbana sisi kwa sisi......kuchokozana.....kushindana.......kujivuna.....hivi vitu havina maana kwani Our Credits come from heaven..... wafilipi 2:3,14 Wagalatia 5:26............. tujivike unyenyekevu...... kwa njia hiii tutapata neema iliyozidi Yak 4:6,10, Luka 18:14.14:11
Naomba niishie Hapa ili kuwapa nafasi wengine.....
MUNGU ibariki Tanzania,
MUNGU wangu awabariki wote,
Eng Paul Holella
This from Pastor Justice Lutashobya of World Miracle center
From: Justice Lutashobya
Sent: Friday, November 07, 2008 5:22 PM
Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
SHALOM
SIKUPENDA KUFANYA COMMENTS LAKINI KWA AJILI YA MWILI WA KRISTO NATOA MAONI HAYA.KWAMBA WATUMISHI WENGINE WAMECHANGANYA SANA MADA HII.
JILINDE SANA KUHUKUMU AU KUTOA MAONI AMBAYO HUNA EVIDENCE KIBIBLIA.KWA MFANO HUWEZI KUSEMA HUYU NI NABII WA UONGO KABLA HUJAJARIBU UNABII WAKE ETI KWA SABABU NI NEGATIVE PROPHECY.KIBIBLIA WALIKUWEPO MANABII WA GADHABU KAMA ZEFANIA.ALIVYOKUWA AKIONEKANA ANAKUJA KUTABIRI, TAYARI ILIKUWA NI HABARI MBAYA TU NI HUZUNI TU.ISSUE NI KWAMBA UTOKE KWA MUNGU.LINGINE UNABII MWINGINE UNATIMIA BAADA YA MUDA MREFU.HIVI KUNA NABII AMBAZO YESU AMETABIRI NA MANABII ZINGINE HAZIJATIMIA.HATUWEZI KUSEMA YESU AU MANABII NI WAONGO.UNABII UNATIMIZWA NA MUNGU MWENYEWE KWA WAKATI NA MAJIRA ALIYOYAWEKA MWENYEWE. MATENDO 1:6-7 ALITABIRI PIA YERUSALEMU WAKATI ANAIOMBOLEZEA, AKASEMA HUKUUTAMBUA WAKATI, SIKU ZINAKUJA AMBAPO MAADUI WATAKUZINGIRA KILA PEMBE, NA HAKUNA JIWE LITAKALOSALIA KATIKA UKUTA WA YERUSALEM.
KANISA LA TANZANIA LIMELELEWA KATIKA MAPOKEO YASIYO NA UFAHAMU WA KUTOSHA JUU YA HUDUMA 2 ZA -KITUME NA KINABII.BIBLIA INASEMA KATIKA EFE 4:11 KUWA ALITOA WENGINE KUWA MITUME, MANABII, WAINJILISTI WACHUNGAJI NA WALIMU.KWA HIYO TANZANIA IMELELEWA KATIKA HOFU YA MABII WA UONGO.NILIPOKUTANA NA WACHUNGAJI KUONGELEA MANBII WA UONGO NILISEMA HUDUMA ZOTE KAMA KUNA MCHUNGAJI WA KWELI PIA KUNA MCHUNGAJI WA UONGO, MWALIMU WA KWELI KUNA MWALIMU WA UONGO NK.HAWAKUJIBU NENO.
YESU KRISTO ALITUONYA PIA SIYO MANABII WA UONGO TU, BALI MAKRISTO WA UONGO.HAWA NI WAKRISTO WASIO NA HUDUMA ILA NI WAONGO NA WENGINE WANASALI KATIKA MAKANISA YA WACHUNGAJI WA KWELI.KAMA NI MKRISTO WA UONGO HAWAWEZI KUKUBALI UNABII WA KWELI.NURU NA GIZA HAVICHANAGAMANI.VIVYO HIVYO NABII AU MTUME WA KWELI HAKUBALIKI KWA SABABU HIZI NI HUDUMA ZINAZOFUNUA DHAMBI NA KUIKEMEA DHAMBI.MFANO YEREMEA KAMA NABII WA AGANO LA KALE ALITUPWA KWENYE SHIMO LA MATOPE KWA SABABU YA KUTABIRI TOFAUTI NA MATARAJIO YA WAPENDWA NA NCHI PIA.
LINGINE, MTUME, NABII, MWINJILISTI, MCHUNGAJI NA MWALIMU MKUU WA KWANZA NI YESU.ITAKUWAJE WANAFUNZI WAKE AMBAO NDIYO SISI TUSIWE NA HUDUMA HIZI? ALIENDELEA KUSEMA TUWAFUNDISHE YOTE ALIYOTUAMURU.KAMA YESU ALITABIRI LAZIMA NA SISI TUTABIRI, KAMA YESU ALIFANYA UTUME LAZIMA NA SISI TUFANYE UTUME, KAMA YESU, ALIHUBIRI LAZIMA NA SISI TUUBIRI, KAMA YESU ALIFANYA UCHUNGAJI LAZIMA NA SISI TUCHUNGE, KAMA YESU ALIFUNDISHA LAZIMA NA SISI TUFUNDISHE!! NI WAKATI WA KUBOMOA MISINGI YA MAFUNDISHO POTOFU KUHUSU HUDUMA HIZI!! NI WAKATI WA KUBOMOA MAPOKEA WALIYOWEKA BABA ZETU KULINDA MASILAHI YA DINI.NI WAKATI WA KUNG’OA YALIYOPANDWA KINYUME NA HUDUMA HIZI!! NI WAKATI WA KUARIBU HERESIS JUU YA HUDUMA ZA KITUME NA KINABII!!! BAADA YA HAYO TUPATE KUPANDA MBEGU MPYA YA KRISTO YA KINABII NA KITUME!!ILIYOHUJUMIWA.BIBLIA NZIMA NI KITABU CHA KINABII KINYUME NA MAFUNDISHO MENGINE NI UONGO HAIJALISHI UNA UPAKO WA KIASI GANI!!
NATOA USHAURI KUWA KANISA LA TANZANIA LIANZE KUJIFUNZA NA KUTAFITI KWA MAOMBI NA NENO KATIKA BIBLIA KUHUSU HIZI HUDUMA.HIZI HUDUMA NI ROHO MTAKATIFU ANAYEFANYA KAZI.KWA KUTOA KAZI YAKILA HUDUMA.
APOSTLE- GUARDS THE CHURCH AGAINST EVILS AND DEVIL-MESSAGE IS TO BUILD THE CHURCH
PROPHET- GUIDES THE CHURCH TOWARDS DESTINY-MESSAGE IS DESTINY
EVANGELIST- GATHERS FOR THE CHURCH-MESSAGE IS SALVATION
PASTOR- GROWS THE CHURCH -MESSAGE IS FAITH
TEACHER- GROUNDS THE WORD FOR THE CHURCH -MESSAGE IS WORD OF GOD
From: Godfrey Mugumira [mailto:godfrey.mugumira@googlemail.com] Sent: 11 November 2008 08:22Subject: Re: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Dear brethren,
This has been a meaningful discussion and I have been enlightened by every contribution.
When all is said, what follows is action so that we can see things happening. We need to really improve our walk with God in a way of repentance so that our petitions may be received. All the prophesies should be tested without judging who provided it. It is the best practice as provided by the Holy Book.
Test them all no matter how positive they may seem, it is always worth testing so that we may remain under the cover of His grace. At all times, we need to maintain composure while absorbing and checking the credibility coz eventually, every testimony should glorify God
I went through some readings and saw a few statements and decided to quote them. Please see below
Judge the spirit of the prophecy before you judge the truth of the word (Graham Cooke). Matthew 7:15-20
We need words from heaven. Too many words come from the human heart and not from heaven. God wants prophets who will bring words from heaven that will change things on earth (Terry Collins).
Lets approach prophesies with a positive mind and test them coz there could be a word for us from a prophet's 20 words sentence. So if you are in good terms with God, His spirit will open it all.
Let His word be our mirror as we seek to know Him more and more. These scriptures can offer us some clue on how to look at prophesies
1. 1 Cor 14:4 - It must build up the body.
2. 2 Tim 3:16 - It must agree with Scripture.
3. John 16:13, 14 - It must exalt Jesus.
4. Deut 18:22, 22 - It must come true.
5. Deut 13:1-5 - It must lead to God and obedience to him.
6. Rom 8:15 - It must produce liberty
7. 2 Cor 3:6 - It must produce life.
8. 1 John 2:27 - It must be attested to the Holy Spirit in each believer.
God bless you Isaac for initiating and moderating this great discussion.
It is a nice subject that I will continue to dig more... The contributions have revealed that we have serious people and I just want to challenges us to pray for spiritual maturity as one of the ways of strengthening ourselves in the course of our faith. It matters how you stand in the Lord. So lets continue to seek enlightenment which will empower our knowledge base.
I can’t over emphasize but it was worthwhile...
God be with us... John 16:12-15
Godfrey Mugumira
From: Mkunde Makundi [mailto:mkundem@yahoo.co.uk] Sent: 11 November 2008 02:06To: Isaac MpatwaSubject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Kwa wapendwa wote waliokuwa kwenye mjadala huu nawasalimu na pia naomba radhi kwa kimya changu katika mjadala huu wenye kutuhusu sana sisi pamoja na nchi yetu tuipendayo ya Tanzania .
Isaac asante kwa kuleta hichi "kiti moto" chenye topic nyeti na nzuri ambayo imetusaidia sisi wasomaji na wale wote waliochangia. Nakiri kuwa nimejisikia kukua si tuu katika eneo hili ila katika maeneo mengine mengi ambayo mjadala huu umetibua na zaidi ya yote katika kumuishia bwana kwa karibu zaidi. Mungu akubariki mtumishi Isaac na wote waliojihusisha kwenye mjadala huu.
Mchango wangu mimi kwa sasa haswa kwenye hili jambo ni ku-second wale waliokwisha toa mistari yenye line ya ............kupima unabii na pia kuangalia kwa mtazamo wa karibu unabii wenyewe na pia wa wale watoao unabii na jinsi wanavyoenenda katika maisha yao ya kumuishia Mungu. Mimi nita-admit kwamba knowledge yangu kwenye hili eneo needs grace and His wisdom. I choose to be a good student in this na kusikiliza vile Roho Mtakatifu atawapatia hekima watumishi katika kumsikiliza as you share your views in-line with Him. Asante Isaac kwa kunihusisha, na ingependeza sana kama huu usiwe mwisho wa mjadala wa mambo ya msingi yanayotuhusu nchi yetu na pia maisha yetu kama wakristo (struggles in our walk with the Lord,cultural perspectives,testimonies etc). Kuna mambo mengi ambayo naamini kuwa tunaweza kujengana sana kiroho na kimaisha katika kumuishia yeye na kwa utukufu wake.
MUNGU AZIDI KUTUPA NEEMA YAKE NA HEKIMA YAKE KATIKA KUMTAFUTA YEYE.
Remain blessed,
Mkunde Makundi.
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com] Sent: 10 November 2008 16:31Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
…….brethren, we are looking forward to wind-up our long discussion on Prophecy, prophets/prophetess principally in relation to the future situation of our country Tanzania . If there is any one with any thing to insist, suggest or point out something either in terms of prayer point or idea this is you’re time………
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com] Sent: 05 November 2008 10:13Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
…………kweli tunahitaji walimu zaidi kutufafanulia haya maswala kiundani na kimaandiko,thanks very much Mwalimu Mgisa Mtebe,Joyceline Aligawesa and Robert Mnganya for you’re sharing………especially for the point Mgisa insisted that WE SHOULD TEST EVERY THING hata kama kinaonekana kizuri kiasi gani. Thats the command from the Bible. "Pimeni mambo yote ... Zijaribuni kila roho! ... shikeni lililo jema"….1 Thessalonians 5:21: "Prove all things; hold fast that which is good.''………
From: Mgisa Mtebe [mailto:mgisamtebe@yahoo.com] Sent: 04 November 2008 17:20Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Wapendwa, mjadala ni mzuri na ni wa faida. Nadhani niweke mchango wangu kidogo as l have been requested. Pia niombe kuwa focus katika point, as naona tangu last week, baadhi wamejikuta wanatoka katika point. OIC is an issue, but maybe tuiandalie platform yake. Mahakama ya kadhi pia tunaweza kuijumuisha humo humo. Mchokoza mada ISAAC MAKALA wa ukoo wa MPATWA, alichokonoa issue ya "UNABII JUU YA TANZANIA ". Na akauliza swali, akasema, KWANINI INATOKEA NABII ZINAZOHUSU KITU KIMOJA WAKATI MWINGINE HUTOFAUTIANA? As a TEACHER, I will only stick to that. Hizi zingine, tutazianzishia jukwaa lake soon as they are very hot pia.
Kwanza niwapongeze wote mlioshiriki mjadala huu unao touch sana as tunaishi katika nyakati zenyewe zilizotabiriwa kuwa na unabii lukuki wa uongo. Naungana na dota wangu Siana kusema 'we should expect these things, as the Holy Spirit warned us ahead'. Mungu Baba alishaongea juu ya hili, Mungu Mwana ppia na Mungu Roho as well. For Example Deut/Kumb 13:1 na kuendelea, inasema;
"Someday a prophet may come along who is able to perform miracles or tell what will happen in the future. Then the prophet may say, "Let's start worshiping some new gods--some gods that we know nothing about." If the prophet says this, don't listen! The LORD your God will be watching to find out whether or not you love him with all your heart and soul.
Deu 13:4 You must be completely faithful to the LORD. Worship and obey only the LORD and do this with fear and trembling,
Deu 13:5 because he rescued you from slavery in Egypt . If a prophet tells you to disobey the LORD your God and to stop worshiping him, then that prophet is evil and must be put to death. "
So, we should expect hawa 'wasanii' kuwepo in the church jamani. No need ya kushangaa. Mjumbe aliyepita amechangia kusema, WE SHOULD TEST EVERY THING hata kama kinaonekana kizuri kiasi gani. Thats the command from the Bible. "Pimeni mambo yote ... Zijaribuni kila roho! ... shikeni lililo jema"
Mstari mwingine huu Deut 18:18 So when I want to speak to them, I will choose one of them to be a prophet like you. I will give my message to that prophet, who will tell the people exactly what I have said.
Deu 18:19 Since the message comes from me, anyone who doesn't obey the message will have to answer to me.
Deu 18:20 But if I haven't spoken, and a prophet claims to have a message from me, you must kill that prophet, and you must also kill any prophet who claims to have a message from another god.
Deu 18:21 You may be asking yourselves, "How can we tell if a prophet's message really comes from the LORD?"
Deu 18:22 You will know, because if the LORD says something will happen, it will happen. And if it doesn't, you will know that the prophet was falsely claiming to speak for the LORD. Don't be afraid of any prophet whose message doesn't come from the LORD.
Nijibu swali;
WHY PROPHECIES HUGONGANA?
1. Kuna unabii wa ukweli na kuna unabii wa uongo (ambao huweza kutokea katika roho ya shetani au roho ya mwanadamu tu, na sio lazima shetani) Unabii ukigongana na mwingine, lazima kuna mmoja aliyekwenda chaka. Na Kajitueli ameeleze vema, UNABII as Office na Karama pia, vimekuwa abused sana in the church siki hizi. But mimi nasema (as maandiko yanavyoonyesha) Ni tangu zamani enzi za Musa, Kanisa la kwanza, nk. We dont have as many TRUE people in these Offices. Simple! This is the problem.
Paul Hollela alisema, as the scripture say in the book of Revelation, Roho ya Unabii ni ushuhuda wa Kristo, meaning, kila mwenye chapa ya Kristo (as me and you) tunaweza kutumiwa na Mungu sometime kutabiri. Hata Dan Msokwa alisema, We prophecy every day in prayer and in blessing one another. So, hii inazaa tatizo ambalo nalieleza hapa chini.
2. Lack of proper teachings. Makanisa yamejaa wainjilisti a wchungaji na tumepungukiwa WAALIMU. Japo Biblia inasema Tusiwe waalimu wengi, but pia nadhani, hata ile kiwango alichokusudia Mungu, we are still below. This is mainly due to the following reasons;
(i) Lack of spiritual Fathers wa Kuinua vipaji na huduma. Instead, tunapigana vijembe na virungu. Vipawa vikiinuka, Tunaonana COMPETITORS (washindani) badala ya COMPIMENTORS (wanaohitajiana). So vipawa havina favourable condusive environment for practice. Wenyewe vipawa, mpaka wemeibuka, wanastahili pongezi, maana wamepitia mengi, ni SURVIVORS nakwambia, duh! we acha tu!
(ii) Lack of the Grace. The bible says, God gives grace and that grace INATUFUNDISHA (Tito 2:11-12, 1Pet 5:5). Kama Mungu anaweza kutupa neema, uwe na uhakika kwamba, anaweza pia KUTUNYANG'ANYA. Na kinachosababisha tunyang'anye ni KIBURI au lack of UNYENYEKEVU (humbleness/brokenness).
Yaani walokole tuna VIBURI vya kila aina! Wala nisiseme sana . Hata wewe unacho! Na mimi pia! Shetani akifanikiwa kuswitch kiburi ndani yako, vita inaacha kuwa ya Mkristo na Shetani na inageuka kuwa ya Mungu na Mkristo. Na shetani anajua hili na ndio strategy yake kubwa tangu zamani. he is very clever nakwambia.
Ona watu wanavyotengana katika ministry. na dhambi hiyo inawafuatilia, waliojimega, huendelea kujimega mpaka ... Ona tusivyoweza kusameheana. Ona tunavyopigana vijembe kwenye vyombo vya habari. Ona tuavyofanya huduma kwa mashindano. Ona tunavyoweka pesa mbele kabla ya huduma. Ona ... eeh! yaani naweza kuongea mpaka basi. Ngoja niishie hapo.
UKIKOSA UNYENYEKEVU, huwezi kufundishwa na Roho Mtakatifu (mwalimu Mkuu aliyeandika BIBLIA) Na ndivya hali halisi ilivyo makanisanani. Mafundisho maziti mazito yameyeyuka. Tumebaki na nyimbo, matamasha, sherehe, kutiana moyo na mahubiri, but MAFUNDISHO HAKUNA!
Na hapo ndipo ULE UNABII uliomo NDANI YA KILA MKRISTO, unapofyatuka na UOZO wa ajabu. Tunaitaga MATANGO MWITU. Kwa kuwa kila mwana wa Mungu anaweza kutumiwa na Mungu kwa unabii (SIO OFISI YA NABII, bali kwa KARAMA tu) KUKOSA MAFUNDISHO SAHIHI kunachangia sana sana sana kwa watu kufyatua vitu visivyokaa sawa sawa. Kaka Elisha Edson wa Arusha aliita hii ZIMA MOTO. Mtu analipuka tu, "the Lord is telling me, your mother hates you, but hold on..." maskini 'nabii' huyu angejua, kumbe mama wa binti yule yuko pale pale na ni marafiki sana na mwanae na anamsapoti sana katika huduma. teheteheteheteh haya bwana. So nilikuwa nasema, sababu nyingine ya UNABII KUGONGANA NI BKOZ OF LACK OF PROPER TEACHINGS kwa belivers.
2. Maombi au Toba ya Kweli. Kwa mfano wa Kaka Paul Hollela wa UDSM alielezea vizuri sana hii point. akasema; Kwa mfano wa watu wa ninawi, unabii wa kwanza ulisema 'ndani ya siku 8, ninawi itakuwa majivu' lakini watu wa Ninawi wakatubu, na wakamlilia Mungu na Unabii wa pili ukawa tofauti na wa kwanza (vikagongana). Unabii wa pili ukawa mzuri. Hivyo, nabii zaweza gongana kama watu wataomba sana na kujaza 'kipimo cha maombi' (Rev 5:8/8:1-5) na Mungu akapindua nia yake na kuamua kutuma unabii wa tofaui to ule wa kwanza.
3. Uovu wa watu. Unabii wa kwanza ukiwa mzuri, na watu wakajisahau, wakaanza maasi (hata uzembe wa kuomba ni maasi pia) Mungu anaweza akaleta message ntingine tofauti na ile ya kwanza kuhusu watu wale wale. So hicho pia chaweza kuwachanganya watu. Kuna mjumbe mmoja alichangia hii point kusema, Ndicho kilichotokea kwa nyakati za Yeremia, alitabiri mabaya wakati kuna siku za nyuma, nabii mwingine alitabiri mema. Na watu wakawa confused na kureject unabii wa Yeremia ambao baadaye ndio uliokuja kutimia. So, uovu (kutotii) kunaweza kupindua mambo na kugonganisha nabii hizi.
This is as simple as it is. wala usiongee mengi saaaaaana ukawachanganya watu au tukajichanganya wenyewe. msikompliket mambo wapendwa.
Nimesoma what Dan Msokwa wrote, Edmund Lyatuu pia (abit wametofautiana on PERSECUTION and RIVAVAL issues - OIC) But nadhani tuiendeleze katika jukwaa lake, itakapoanzishwa. Hii issue ya UNABII isimame as it is, ili tustick katika point for better undersatnding ya facts. I'd love to hear your contribution too. Blessed B U!
Mgisa Mtebe, 0713 497 654
ELCT - ECD Planning and Devt Officer.
From: ukwatassociates@yahoogroups.com [mailto:ukwatassociates@yahoogroups.com] On Behalf Of JOYCELINE ALIGAWESASent: 04 November 2008 18:24To: ukwatassociates@yahoogroups.comSubject: Re: [ukwatassociates] RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Hi Everybody!
It doesn't matter what things are going on in our country (politically, socio-economic and culturally etc) Hebu tusimame na kweli ya Mungu;The devil knows what Tanzania has in its potential (duniani kote wnafahamu Tanzania ni 'Paradise' -Land of Peace) kitu kizuri kiko mbele ila katikati kuna oppostions hiyo si mwisho hatuna budi kuvuka.Macho na Kope zetu ziangalie mbele wawe manabii wa uongo, wawe wa ukweli.Je sisi tunasimama na Neno lipi?Mungu tunayemwabudu hajawahi kushindwa ;Tunajiposition kivipi 'Now faith is being sure of what we hope for and certain of what we do not see'. Ok, hata kama kanissa limejichanganya (tumejichanganya) we've got to call upon the Lord again for He is faithful.
Sisi ni kusimama na ahadi zake na Yeye ni mwaminifu lazima atimize 'si mwanadamu hata asaeme uongo au ajute!'
Tafuta siku au dakika sema neno la kinabii kwa situation iliyoko na Taifa kwa ujumla.Kumbuka tuna mamlaka katika ulimwengu wa kiroho kupindua kila kitu ktk vikao kwa Priests and Kings.CALL UPON HIM AND HE WILL BE FOUND!
Beblessed
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com] Sent: 04 November 2008 09:09Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
From: Robert Mng'anya [mailto:robertm@nbctz.com] Sent: 04 November 2008 08:50To: isaacm@nbctz.comSubject: OIC CharterImportance: High
Hello all.Attached find a copy of the OIC (Organization of Islamic Conference) charter which clearly shows that OIC is a religious based organization with Islamic goals and principles. The recent argument by our Minister of Foreign affairs that there is no problem with Tanzania joining OIC holds no water as our constitution clearly does not allow us to join such an organization as it aims to propagate Islam and it's ideals.The very first page says it all..."to Endeavour to work for revitalizing Islam’s pioneering role in the world while ensuring sustainable development, progress and prosperity for thepeoples of Member States ; to enhance and strengthen the bond of unity and solidarity among the Muslim peoples and Member States ;"Deeper in the document one of the requirements is for the country joining to have a Muslim majority and furthermore the non recognition of Jerusalem as the capital of Israel by calling it Al-Quds Al-Sharif and requiring member states to join in this effort. Furthermore another glaring objective and principle that states joining promise to adhere to is in Chapter 1 Objectives and principles (page 4)" 11.To disseminate, promote and preserve the Islamic teachings and values based on moderation and tolerance, promote Islamic culture and safeguard Islamic heritage". This is clearly an organization with the purpose to 'promote' Islam which if Tanzania joined an organization to 'promote' Christianity, their member states would probably break diplomatic ties with us and Tanzanian Muslims would be up in arms and protest.It is obvious that some leaders are counting on the fact that the majority of people would rather not understand the document if put to the referendum but choose to accept the purported 'aid' we would get if we would join the OIC. Hon Membe put it so well by declaring that money from 'the devil' is OK. Perhaps with him but not with any sane Tanzanian. Let's support CCT and other well wishers of Tanzania by disseminating the truth and with proper respect for our leaders as we do so.God bless Africa . God bless Tanzania .
From: siana nkya [mailto:siana81tz@yahoo.com] Sent: 31 October 2008 14:14To: Isaac MpatwaSubject: Re: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Hello servants!
So much has been said already and I have learnt a lot. My first question is at the end of this discussion, what do we expect to achieve???
From what I have gathered, this discussion was about the prophecies that have been given for the future of our lovely nation and now analyzing some tips about false prophets. But as we are analyzing the false prophets:
-do we also assess ourselves??
-Do we even know our positions??
-Are we operating in those positions as required/instructed by our master??
-If the judge of judges come what will he find in us and through us??
-How many times do we even pray for the right/true manifestation of the gifts or ministries of the Holy Spirit??
Am saying this because I believe if the bible warned us about the false prophets then that is not a surprise, actually we should expect that. But, I believe the Holy Spirit who gives out the different ministries and gifts is in us and we are supposed to be led by HIM so I think if we all stand in our positions we are not supposed to be troubled by the false prophecies because the Holy spirit is there to confirm and prove what he says, its not about men but God. If we can not discern what is true then it is our problem, and if things are not going on well in the church it is the responsibility of the whole church because prophets are just a part of the whole body.
For our beautiful country, how many times do we pray for this country?? For those of us who have positions in different systems of this country be it government or private sectors, do we stand as priests or as sons and operate as heirs of the Kingdom?? Do we work for salaries alone or we also know we are positioned for the interests of God’s Kingdom?? Leave prophets aside, where are the Daniel, Meshack...) of today who can be problem solvers not complainers??? Where are the Esther of today who know to use their positions in Gods timing for God’s interests.
I FIRST REPENT FOR THE CHURCH FOR NOT RECOGNISING OUR POSITION, POWER AND AUTHORITY. I PRAY THAT WE ALL GO BEFORE GOD TO INQUIRE OF HIS MERCIES AND GRACE SO THAT WE CAN TOGETHER STAND IN UNITY AS THE HOLY NATION, CHOSEN GENERATION OF THE HOLY LORD OF HOSTS AND BUILD HIS KINGDOM.
Siana Nkya
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com] Sent: 31 October 2008 10:25Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Wapendwa, the bible drives the point home 1 Thessalonians 5:21: "Prove all things; hold fast that which is good.''
Kuutambua ukweli ama uwongo we must heed the above verse and "prove all things." One does not arrive at being an overcomer until s/he first learns the all important lesson of testing or "proving" the issues of this life, not only even prophecy alone. In the hour that we live there are so many things that are false and evil. We must be constantly on guard and "prove" or test things, lest we become ensnared by something that is wicked. Cults are spreading.Dini za ajabu ajabu na mafundisho ya uongo are creeping into our country in very clever forms, and many Christians are being deceived and have accepted their practices without even being aware of their evil. Some religious groups have existed for years under the guise of Christianity, and yet are far from the teachings of Jesus Christ. The Lord warns us of these false teachers and tells us to beware of them………Certainly, we are admonished to be on guard. However, some go to such extremes as to become narrow-minded and closed to some beautiful truths in the name of being careful.
…..What should our role as Christians be in regard to acceptance of a new thought, idea or doctrine...? We are told to prove all things, not to reject them because they might be strange or new to us kwa sababu tunaweza tukakataa hata vya kutoka kwa Mungu. However, we should not receive them either, until we first prove them. How do we prove things? All true Christians are in agreement that our standard is the Word of God, the Bible. God left us this Book as a reference, standard, or gauge so we could know whether something is good or evil, truth or error, right or wrong. (2 Timothy 3:16-17: "All scripture is given by inspiration of God, and is profitable for doctrine, for reproof, for correction, for instruction in righteousness: That the man of God may be perfect, thoroughly furnished unto all good works.'')
One of our major faults as Christians is that we tend to quote men on certain subjects instead of referring to the Book God gave us. We recognize that God gave us men to lead us into the truths of God, but our problem becomes who are the true men of God and who are the false ones that Christ warned us about? Sometimes we tend to evaluate men according to the size of their ministries, their popularity with men, or their endowment of certain gifts, etc…….which is absolute wrong na ndio maana mara nyingi tunajikuta tumepotea njia na kuishia machakani……..
…….thanks very much bro Andrew Kundasai,bro Kajituel and Edmund Lyatuu for expounding the topic in clarity………….mjadala bado unaendelea wapendwa before we wind up this blog by summarizing the Prayer Points and disseminate as there is a tendency of losing track and important points are lost in between ….I believe in principle we all agree to take our Position in the Kingdom of God so as to fulfill Gods purpose for our lives and the land we live on which is Tanzania. So let’s stand in the GAP by praying for this nation, for God to heal this land……….
From: Martin Kajituel [mailto:mkajituel@vodacom.co.tz] Sent: 31 October 2008 01:52Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Sorry for not being responsive, I have been quite occupied.
Isaac we probably need to set up for a sharing session kind of a Bible study meeting whereby brethren could meet and interactively discuss a particular biblical ambiguous/uncertain topic such as of prophesy. We are normally used to be preached and prayed for but concealing some burning questions and serious concerns with no illumination or explanations as a result remaining in spiritual ignorance. I have been at all times edified in free Christian discussions. May I now briefly share my views.
Prophesy ministry has been abused by the majority of the body of Christ specially we Pentecostals because of their ignorance & doctrinal believes handed down to us by our religious forefathers. Most of our prophetic utterances are unrealistic we just pronounce as a custom, spiritualizing every spiritual subject and ignore the fruitfulness of the mind…… I WILL PRAY IN THE SPIRIT AND I WILL PRAY IN MIND TOO, craving at pleasing people and seeking to be praised as highly anointed Ministers unlike others, starvation of our ministers (a horizontal approach of meeting their financial wants from who haves) NJAA KALI, emergence of untrained ministers with an excuse that theological studies is a demon and toxic.
LaVonre Chandler prophecy appears to me as more of a well prepared Pentecostal sermon and not a prophecy, nevertheless the test of time will slowly but sure approve his prophesy or nullify it, I afraid to condemn this man of God but let our fundamental criteria be the accomplishment of his prophecy.
Blessed be thee,
Martin R. Kajituel
Human Resources Manager: HR-0perations
Vodacom (T) Ltd.
Dir Line: +255 754 703036
-----Original Message-----From: Edmond [mailto:edmond@tanzaniaconnection.com] Sent: 31 October 2008 01:38Subject: Re: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Waheshimiwa Salamu zenu.
Isaac pointed out a very specific question to me
".....you and you¹re family have been living in America for about twenty
years, God spoke to you to come back home because He has a purpose with you
here in Tanzania , now you¹re here in Tanzania.Embu tueleze Dr,what do you
see in this country that gave you courage to left all in USA despite that
you and you¹re family having being established there in USA and decided to
come back?..."
Well we lived in the US for a little over 13 years... And yes life was good
in the sense that we were set and blessed to kind of test the "American
dream".. BUT we all know our lives is not about that... It is way more than
that (do not want to get on a "rabbit trail" and thus I will not say more
about that).
Kuhusu our dear Tz.
Kwa kweli inategemea unaiangalia kwa lens gani...from where I am standing,
Tanzania is a real deal...here is why!
Mwaka 1998, ilinibidi nirudi Tz kuja kumuuguza mzee wangu ambaye alikuwa
anasumbuliwa na cancer. Hata wakati huo kulikuwa na dalili kuwa mambo
yalikuwa yanaanza kubadilika, ingawa as an individual I was not impressed at
all! By the way I was still in school and unajua tena.. Kuja tu huku ilibidi
kujidunduliza ile mbaya.
Mwaka 2004 I got another opportunity to travel back here... and somehow I
got stuck here for 2 months (July - Sept). Kipindi hicho kilinipa nafasi ya
kuangalia maisha kwa undani kidogo. Nilipata nafasi si tu ya kuishi dar...
lakini pia nilikwenda Migombani (mara kadhaa) Tanga, Arusha & Mbeya n.k.
KWa ufupi, ilikuwa (na bado ni) ni maoni yangu kuwa Tz... Ni kama gari moshi
lililopo "njia moja" na ukweli ni kuwa "walio ndani ya behewa wameketi
kwenye viti vyao ndo wanaoondoka nalo", Kuna walio nje bado hawajapanda na
wanajaribu kujitahidi waingie ndani.. Wengie wanafanikiwa, lakini walio
wengi wanajikuta wameanguka na kushindwa kupanda; and yet kuna walio nje,
hawamo kwenye behewa AND worse they are totally clueless of what is going
on!
Zaidi (na huenda baya zaidi) ni ukweli kuwa kuna gap kubwa sana kati ya
wenye nacho na wasio na kitu (the "haves and have nots"). Kwa walio nacho
Tanzania (and Dar in particular) is a paradise! KWa wenzangu wengi tunaoishi
"uswazi" Life can be hell! Nimetumia "can" kwa sababu nin uhakika kuna
wanaoishi "uswazi" wameridhika and they are happy. Lakini kwa lio wengi hiyo
"paradise" wanaisikia kwenye bomba tu! BAYA zaid ni katabia kanakoota mizizi
ka "walio nacho" ku "rub-it-on" kwa wasiokuwa nacho. Wenye nacho
wanahakikisha wanaonyesha matumbo yao kwa wenye njaa (BY the way.... This is
straight from the devils page on "how to be god 101"
Tanzania kuna "Opportunities" nyingi sana . Infact ukweli unaotokana na our
level of development, our socio-economic conditions and geo-political
realities, unafanya tanzania kuwa na "Opportunities nyingi kuliko Marekani -
ambayo kwa kiasi kikubwa is almost a "ready-made society".
BAHATI Mbaya ni ukweli kuwa pamoja na uwanja mkubwa sana kujiendeleza;
"Opportunities" zilizopo ni kama zimewekewa "wenyewe" wenye nafasi.
TATIZO kubwa, na ambalo nadhani NDIO HATARI KUBWA SANA inayoinyemelea nchi
yetu hii, ni kuwa:
Kuna wahuni wachache... Watu ambao they are literally being used by the
devil himself; watu ambao single handedly are bringing HELL to our country!
Kuna wanaowaita mafisadi... Mimi sidhani hata najua maana halisi ya neno
hilo! what I know is the simple fact kuwa watanzania tumeamua kuikenulia
meno DHAMBI ya kuabudu "Miungu watu" Aidha kwa kujua na kukaa kimya AU kwa
kuwa "Oblivious" of the reality!
Unajua nimejaribu kusoma maoni kadhaa... Na kwa kweli wazee point mmezitoa!
Tatizo ni sikuona wengi walio uliza swali la msingi: SO WHAT? Au kuwa more
direct - and So What Are we going to do about it?
We all know... Jesus came to bring forth HIS Kingdom! The Kingdom that will
restore righteousness (reconciliation between people to their living God,
people to each other and people to their environment), The kingdom of peace
and Joy in the Holy Spirit! We know that very assignment had been passed to
you and me! BUT where are we wapendwa? How come "Midabadwa" inaruhusiwa
kutukamua na kunyanyasa wanyonge? How come wahuni wachache wanaruhisiwa
kitia kiwingu kuzuia watu wasiuone utukufu wa Bwana katika maisha yao ? How
come? Where is Justice? And where are the people of God - who can flick on
the light and BRING HOPE to the poor? Where is the "salt"? How come it seems
we are all stuck in the bottle (our little pseudo-heavens called our "kanisa
letu"), instead of being shaken off and sprinkled all over and in all facets
of this great nation?
We are all WELL POSITIONED to bring meaningful change! Are we doing it?
Isaac... Umeeuliza naona nini... There my friend! I see a great nation, full
of opportunities, a nation that can shine and bring hope to the rest of Sub
Sahara Africa, A nation that can model Justice and declare the in-breaking
of the Kingdom of the Living God in people's lives.
BUT I also see a people of God... Trembling in fear, hiding in their tents;
not sure of what to do! All that at a time when the Lord is standing at the
door calling them to come out, to stand and be counted. To help him reach
out to those who are his....
Guys do nt get me wrong; I love what we are doing here... I think it is
good. BUT SO WHAT?
Here is my wish folks!:
I wish, wapendwa could find among us people who knows the signs of the times
AND what we ought to do!
I wish, the smart brain zilizookoka ZINGEANZA SASA kukaa na kumwomba Bwana
atupe ufunuo wa namna ya ku uleta ufalme wake kwa waTanzania.
I wish we could have smart lawyers = waliookoka, ambao wataweza kutusaidia
kuangalia ni namna gani tunaweza KUZUIA taifa letu kuingizwa kwenye mfumo
kama wa mahakama ya kadhi; kitu kama OIC... Brother Daniel Msokwa I am sorry I will
beg to differ with you on this... WE DO NOT NEED OIC to wake up! We should
wake each other up! OIC ikija hapa - we will be too late, and we wold be
looking on a different item "how to protect our kids from being slaughtered
for saying "Bwana Yesu Asifiwe". Sina nia ya kumtisha mtu... I do not even
believe in using threats! BUT If we do not wake up it will not be a threat
anymore!
Wapendwa naomba radhi kwa kutibua tope... But hey... Throw all "madongo" to
Isaac - he started it!
Jamani Mbarikiwe sana katika kila unalolifanya kwa utukufu wa Bwana
Cheers
Edmond
From: anDy [mailto:andrewezekiel@yahoo.co.uk] Sent: 30 October 2008 23:50Subject: Re: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Jina la Bwana libarikiwe saana,
Kaka Isaac Bertha Mpatwa "Bwana Arusi"
Kwanza, nikupongeze kwa kuleta hoja maridhawa nzuri na yenye changamoto.
Pili, nikuombe msamaha kwa kutochangia, Nimekuwa "spoiled" saana na watumishi jinsi ambaavyo wamekuwa wakitoa nondo kali mno.
Nawapongeza saana vijana wa Yesu kwa chambuzi zenye ma-hekima ndani yake.
"I can see our nation crowded with young men and women who fear the LORD and love His Word." Huu si unabii jamani msininukuhu
Na Mwisho Niweke wazi kuwa kwa sasa SIWEZI kabisa kutia mguu kwenye hii hoja. Mimi naomba niwe mwanafunzi tu kwa sasa.
Japo mawazo yangu yangeweza kushahabiana saaana na mdau kutoka " Rocky City " nafikiri ni ndg.Lyamba ila kwa kufafanua/ufafanuzi kidogo..
Naomba uniruhusu niendelee kula "KOBISI" Kaka Bertha pls!
Kwani tumebakiza siku tano uchaguzi umalize mabishano
Na bei za mafuta zimeendelea kushuka saaana toka $ 3.99 mpaka $1.95 @ gallon Unleaded, kwa upande wa Hapa "Mbagala" TX
Nyepesinyepesi
Andrew Ezekiel Njau
Mbarikiwe
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
..for every tongue "languages" shall confess and every Knee "beliefs" shall bow ... are we ready!!
…….
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com] Sent: 30 October 2008 15:41Subject: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Looking at Matthew 7:15-23, we find Jesus gives us another guideline for determining false prophets:
"Beware of false prophets, which come to you in sheep's clothing, but inwardly they are ravening wolves. You shall know them by their fruits. Do men gather grapes of thorns, or figs of thistles? Even so every good tree brings forth good fruit; but a corrupt tree brings forth evil fruit. A good tree cannot bring forth evil fruit; neither can a corrupt tree bring forth good fruit. Every tree that brings not forth good fruit is hewn down, and cast into the fire. Wherefore by their fruits you shall know them. Not every one that says unto me, Lord, Lord, shall enter into the kingdom of heaven; but he that does the will of my Father which is in heaven. Many will say to me in that day, Lord, Lord, have we not prophesied in thy name? And in thy name have cast out devils? And in thy name done many wonderful works? And then will I profess unto them, I never knew you: depart from me, ye that work iniquity…….
From: Suvuku Lukumay [mailto:SuvukuL@grumetireserves.com] Sent: 30 October 2008 11:38Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Dear all, this is a sensitive subject but one that we very much need. Well, ours is to test the prophecies to see whether they are from God or not. If they come from God we are to embrace and obey. Otherwise oppose them. Now testing is not as simple but we have the Word of God and the Holy Spirit to guide us. Litmus Test: Prophecy from God glorifies God. Asanteni.
Suvuku Lukumay
Singita Grumeti Reserves
P.O. Box 65 – Mugumu , Tanzania
Tel: +255 28 2622 071/2; Fax: +255 28 2622 070
Mob: +255 786 408 532
Website: http://www.singita.com/
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com] Sent: 30 October 2008 08:52Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
………..Haya jamani,mambo hayo……Mhando ameomba kuwasilisha hoja,mnasemaje?Any addition or subtraction?……ninanukuu sentensi yake moja as far as the issue of OIC is concerned….. ‘Hon. Membe is just implementing what has been decided in the heavenly places. It is strange to pressurize him to revoke the issue of OIC while we are responsible to permit or to block it.’……………wajumbe mnasemaje hapo…………Je,ni kweli mbingu zimeruhusu issue ya OIC pamoja na mahakama ya kazi?Je,hayo ndio mapenzi kamilifu ya Mungu(perfect will of God) kwa Tanzania kwa sasa or ni kwa sababu tu kanisa limelala then God has allowed it(permissive will of God) thou He didn’t plan to be so from the beginning but it just a wake up call...Is it too late to deal with it in terms of rejecting it or is still in our option/choice and authority either we allow it or not…………
From: philemon mbughuni [mailto:mp.santo@hotmail.com] Sent: 30 October 2008 08:21Subject: [Potential Spam] RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Hello Saints! Grace and peace be multiplied unto you. God bless you brother Isaac for bringing this matter into our attention. First, I would like to say that whatsoever God does to us, or intends to do, its for our own good, no matter how things look like. By so saying, I am fully persuaded that something good is about to be birthed in our nation, taking into consideration the prophecies of the ministers of God as they were moved by the Holy Ghost. God cannot move upon a nation without his His people, the church. It is until the church gets back to where it ought to be, that's when we will start to see the move of God. It is until we become one people, one voice, one family bound in the precious Spirit of love, even the Holy Ghost. And if we, as the church, fail to live this way, God is the great Teacher, He will teach us this lesson the hard way. Hon. Membe is just implementing what has been decided in the heavenly places. It is strange to pressurize him to revoke the issue of OIC while we are responsible to permit or to block it. Hapa tusitafute mchawi, majibu tunayo wenyewe. While we were so busy, building up and magnifying the kingdoms of our denominations and the like, instead of seeking the Kingdom of the Lord over Tanzania , somebody took authority, and made decision on our behalf. This is a wake up call for us to arise and shine. To bring my point home, all these prophecies workout together for our good, whether they sound positive or negative, they depend on each other as brother Daniel said. the fulfillment of one, creates an environment for another to come to pass. Naomba kuwasilisha. mhando philemon (m. p.) love you all guyz!
From: ukwatassociates@yahoogroups.com [mailto:ukwatassociates@yahoogroups.com] On Behalf Of Thomas KiwalakaSent: 29 October 2008 18:22To: ukwatassociates@yahoogroups.comSubject: [ukwatassociates] Baada Ya Yote Tufanyeje?
Wapendwa Katika Kristo Yesu, Bwana Yesu asifiwe, tumesikia Nabii zilizotoka juu ya nchi yetu, tumezijadili kwa undani na umakini kwa kulinganisha na Neno la Mungu, ni vyema hayo yote lakini Je tunaishia hapo na kustarehe kusubiri yatimie yaliyo semwa?
Ninini hatua inayofuata baada ya kusikia hayo yote? Watumnishi ni maelekezo gani Mungu amewapa ambayo tunatakiwa kufuatilia ili yaliyosemwa yatimie?
Ni nini twatakiwa kufanya?
Tusaidiane Hapo wapendwa wa Mungu.
Wenu katika Kristo.
Br. Thomas
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com] Sent: 29 October 2008 16:39Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
…….as we are abiding to talk about the issue of Prophecy, prophets&prophetess in particular to the interests of the body of Christ and the present&future of our country Tanzania at large, Despite of all other tests for a prophecy or knowing a true or false prophets&prophetess as the bible affirmed in 1 Thessalonians 5:21: "Prove all things; hold fast that which is good.'' I have come up to believe that before I decide to hold fast, abide, do as I’m told for a prophecy that a true Prophets, prophetess or minister must reflect JESUS. Examining the conversation of these People can quickly reveal the God they serve.
Do they speak of God's kingdom?
His righteousness, and His love;
Or does their conversation center on the things of this world and life?
Are they peacemakers, sowing mercy and love?
Are they gentle and patient, or do they lose their temper easily?
Do they walk in faith, or are they continually looking to other men for their needs to be supplied?
Are they always pressuring people for money, or do they simply receive those gifts of money as unto the Lord?
Do they have the joy of the Lord, or do they minister out of duty?
Are they truly joyous with that joy spilling over to others, or do they continually complain and gripe over all the things that are not pleasing to them?
Is goodness evident in their lives instead of evil?
Do they put people in bondage by always threatening them with the wrath of God?
Or is freedom of choice extended with the warning of the penalties of sin?
I believe Jesus came to set us free, not to bring us under the bondage of men. Let us prove all prophets, prophetess and leaders and see if their fruit is good fruit. Do they love and not hate, have joy instead of depression, and promote peace instead of strife? Are they longsuffering (patient) or impatient, gentle or harsh? Do they show love and tolerance for those that oppose them? Do they walk in faith, or doubt and unbelief? Are they meek, giving God the glory for their talents and gifts, or do they pride fully talk of all they are doing or their group is doing? Does temperance prevail not only in their lifestyle, but in their personal habits as well, or do extremes exist that do not glorify God? In essence they will not live for themselves, but for others as Jesus did. Do they reflect Jesus? They will live a crucified life that glorifies God! Proverbs 20:11 says, "Even a child is known by his doings, whether his work be pure, and whether it be right.''
But brethren, I need to be very unambiguous here, examining lives by this standard we must be careful not to go to extremes ourselves and expect total perfection of all prophets&prophetess or ministers. There are many godly men and women who are called of God, who have overcome in many areas, although they still have some weak areas. They believe as they walk with the Lord that these too will be perfected. We are especially called to be patient and loving towards our brothers and sisters in the Lord…….
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com] Sent: 29 October 2008 13:28Subject: FW: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Thanks very much Mwalukasa, Edmund Lyatuu (Dr omitted) and Mathias Mhoja………Is there someone with different idea or need to insist or adjoin something?
From: mathias mhoja [mailto:mmhoja@yahoo.com] Sent: 29 October 2008 12:32Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Dear servants, after reading and understand all that have been given by the previous writers on this matter on prophesy,I should say very few words because most the things i could share, have been talked about.I see the prophesy given by La vonre Chandler very scriptural and has a relevant truth on the church situation in Tanzania.We need to be in tune with God through his word and his Holy Spirit so as we grasp the heart of God for our country.I believe with all my heart that there is something good God is doing and will continue doing through the church in Tanzania in order to bring it into REVERENCE TO GOD,so that HE can be GLORIFIED in the entire country.MY HEART CALLING TO EVERY CHILD OF GOD,EVERY MINISTER OF THE KINGDOM OF GOD, EITHER PROPHETS, APOSTLES,PASTORS, EVENGELISTS,TEACHERS, COUSELLORS AND ALL OTHERS TO GO DEEPER IN THE KNOWLEDGE,WISDOM AND THE CHARACTER OF JESUS CHRIST, UNTIL WE REACH THE FULL HEIGHT OF OUR LORD.WE NEED TO GROW TO SONSHIP AND BE ABLE TO LIVE A TRUE KINGDOM LIFE. IF WE DO THAT WE WILL HAVE NO PROBLEMS OF DESCERNING THE VOICE OF GOD THROUGH PROPHESY AND,
BLESSINGS
-----Original Message-----From: Edmond [mailto:edmond@tanzaniamissionteam.org] Sent: 29 October 2008 11:55Subject: Re: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
Wapendwa mbarikiwe sana
Naitwa Edmond (feel free to drop the Dr. stuff... I do not even like it;
Yeah yeah I know... But I can explain when we meet - Isaac do not laugh).
Otherwise kwa kweli mjadala ni mzuri sana . Ni kwa bahati mbaya ndio kwanza
na access my email baada ya kama siku mbili hivi, na nipo kwenye Café
(nadhani TTCL wataweza kutengeneza mambo by sometime this afternoon).
Nadhani hii pia itanipa nafasi ya kusoma maoni mazuri ya wenzangu kabla ya
kuchangia.
Ila to labda niseme - the future our country is very bright - only that "we"
need to be careful to DO EXACTLY as the Lord require of us (nothing more
nothing less) - unajua tena ninachokisema... I mean... Being careful to do
God's work HIS way (rather than God's thing our way).
Of course kina vijambo hapa na pale... But hey... It is the battle we are
all a part of.
Naomba nitoe udhuru... Will be back later with more (so spare "madongo" for
now.
Love you all dearly... And can confidently say The Lord has a grand purpose
uniquely for each one of us.
Edmond
From: Stephano Mwalukasa [mailto:smwalukasa@panafricanenergy.com] Sent: 29 October 2008 09:41Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Ndugu zangu,
Mtu huyu Paul Holella, ameclarify vizuri sana issues za kinabii, Utendaji wa neno ndio kitu kikubwa na siyo Titles, Hivi karibuni nimeona watu Wakijenga Kingdoms zao wenyewe kwa kutumia majina haya (Manabii) The Bible says, you will know them by their Deeds not their Titles, Take care friends, hizi ni siku za ukengeufu, Tusipime kwa macho, mtazamo au miujiza, Ni neno Tu.
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com] Sent: 29 October 2008 08:25Subject: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see?
……thanks Eng Paul Zabron and bro Godfrey Mugumira……be onto Tanzania as according to you’re word Paul….that Tanzania inaelekea pazuri na penye utukufu mkuu Wa Mungu……
…..Dr.Edmund Lyatuu, tell us…..you and you’re family have been living in America for about twenty years, God spoke to you to come back home because He has a purpose with you here in Tanzania,now you’re here in Tanzania…….Embu tueleze Dr,what do you see in this country that gave you courage to left all in USA despite that you and you’re family having being established there in USA and decided to come back?
From: Paul Holella [mailto:pholella@yahoo.com] Sent: 28 October 2008 16:13Subject: Re: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Wapendwa Bwana YESU asifiwe,
Huu mjadala wa mambo ya kinabii juu ya nchi yetu ni mzuri sana, binafsi nimefurahi sana kwa mapoint na revelation zilizotolewa na watumishi kadhaa waliochangia hoja, ila kuna Mgisa na Br Kingu sijaona michango yao ........
Naungana na hoja ya Isaac... tofauti ya ofisi, karama, roho ya kinabii, efeso 4:11, 1Cor 12:4...
Ufunuo 19:10 ............ .Ushuhuda wa Kristo ndio roho ya unabii. naanzia hapa, kila mwenye ushuhuda wa kristo anae roho wa manabii, He/She can be connected to The prophetic realm.......
Mimi nasema sisi wote ni manabii kama tuna ushuhuda wa Kristo ndani yetu ingawa sio wote tuna ofisi ya kinabii (efeso 4:11).
Point ya pili ni pale tunaposema tunapima unabii kwa neno.... au nabii wa uongo ni yupi???
Ni mara nyingi tumesoma kwenye Biblia Bwana YESU anasema utakapokaa kwenye neno langu.......
au ....imani huja kwa kusikia neno........ ..
Neno hili linaloongelewa hapa ni fundisho(neno) sahihi la KRISTO, kwa Mtu aliyejengwa ktk fundisho sahihi la Kristo, Mtu huyu ndio mtu ambaye anaweza akasimama na kusema Napima unabii kwa fundisho(neno) sahihi la msingi la Kristo ambalo wakristo wote tulipaswa kujengwa ktk hilo.......
Mafundisho sahihi ya Kristo ndio yanayoweza kumpa mtu msingi wa kuwa na akili za rohoni za kuweza kupima unabii kwa neno..... kwa sababu amejengwa na series ya mafundisho sahihi ya kristo,
ukisoma ufunuo sura 2&3 Barua kwa makanisa saba utaona mgogoro mkubwa upo kwenye mafundisho yasio sahihi.
Unabii kutimia au kutotimia sawa ni kipimo ila si kipimo sahihi saaana cha kwa kwamba unabii ni wa Mungu maana Tuna mifano ya manabii kama Yona kule ninawi, Na pia nabii Eliya asingeomba vya kutosha mvua isingenyesha 1fal18: kwa hiyo kuna nabiii ambazo kutimia kwake kunahitaji maombi, utii ....
Vilevile Hata waganga wanatabiri vitu vinatokea... .ila hawamtukuzi Bwana Yesu.....
Nabii wa uongo ni yule anayeleta msingi wa mafundisho mengine yasio sawa ambayo hayatokani na kristo au yana hila fulani ndani yake.....
labda niongelee hili pia
Ukisoma vizuri Warumi 12: 6......., ukiwa unabii tutoe unabii kwa kadiri ya imani.
Mimi sifikirii kwamba inahitajika imani ya kiwango chochote Mtu kupata ujumbe,kutoka kwa Mungu na kuwapa watu/ kikundi fulani......
Ila naweza kusema kwamba kuna nabii ambazo ni jumbe ambazo Mungu anataka kuwapa watu wa eneo/kikundi fulani hizi hazihitaji imani ni uwezo wa mtu kusikia kutoka kwa Mungu..... na kuna Nabii ambazo Mtu anaweza akatabiri juu hali fulani akiamini( akiwa na kiwango cha imani hiyo) na itakuwa kama alivyotabiri. .....kama tunavyofanya maombi ya kinabii siku zote...
Ngoja niishie hapa Kwa leo ila ni Muhimu kuangalia misingi ya mafundisho tuliyofundishwa hasa siku za kwanza tulipookoka maana inawezekana tukawa na mafundisho yasio sawa kati yetu...
Tanzania inaelekea pazuri na penye utukufu mkuu Wa Mungu
Mungu Ibariki Tanzania ,
Mungu wangu awabariki wote
Eng Paul Holella
From: Godfrey Mugumira [mailto:godfrey.mugumira@googlemail.com] Sent: 28 October 2008 15:26Subject: [Potential Spam] Re: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Shalom Brethren,
Thank you for sharing this message. Glad to see prophesies coming out about our Tanzania .
Perhaps I should mention briefly on what does a prophecy reflect in our life. Prophecies speak about what is to come but it doesnt end there. The aim is for us to prepare and improve ourselves in areas that are in question. We, as receivers of the prophecies, should look up to God and confirm through His word.
In this poluted world, only God's word will separate you from the wicked and misleading attempts of the devil. Personally, I can see improvement in the body of Christ, where more young blood is fusing itself in the system, and I love what I see. God wants to do more mighty things but He needs people in His vineyard. The number of young guys who are joining the faith is increasing and that shows how God is at work. The challenge remains for these people to remain consistently in the Lord. Presence of different ministries, without mentioning names, gives room for them to slowly understand how God works.
Let us filter everything through God's word. God promised to heal any nation provided there are people identified as God's people(2 Chronicles 7:14, If my people, which are called by my name, shall humble themselves, and pray, and seek my face, and turn from their wicked ways; then will I hear from heaven, and will forgive their sin, and will heal their land. , I have enjoyed reading all the comments and bottom line, we need to work on salvation daily by eating a balanced diet under the shadow of His grace. It is nice to have these forums as a way of expanding our understanding of different issues in our relationship with God. For without knowledge, we will perish kama kuku wanavyopata mdondo.
2 Thessalonians 2:17.. Comfort your hearts, and stablish you in every good word and work.
Dont get it twisted ..
God promised to heal any nation provided there are HIS people living in it (2 Chronicles 7:14),
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com] Sent: 28 October 2008 13:15Subject: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
…….Thanks very much Bariki, Anna Lawere and all others for the nice insights…I love you’re positive thinking and the way you’re mind is set,this is good because itakuwa kwako kama uonavyo,utafakarivyo na kama unavyoamini…God will never do anything beyond you’re mind set,the limit is you’re mind ….biblia inasema kama ajionavyo nafsini mwake mtu ndivyo alivyo…na pia Ayubu anasema kile akiogopacho mtu hicho ndicho kimpatacho thou we need to be very careful here ili tusiwe too positive to the extent of not wanting to face the realities. I’m saying this because faith does not deny the fact, but can change it…….. I think concerning the prophecy first, we need to know what is Godly prophecy? To the best of my knowledge I can sum up as words that are spoken on behalf of God, I consider this to be very serious as far as I know God and His characteristics like He never change His mind, huutangaza mwisho tangu mwanzo, yani Mungu yeye ktk utendaji wake huwa anaanzia mwisho kuja mwanzo ndio maana kazi yoyote aliyoianza ndani yako hakika ataitimiza na kuikamilisha,just be sure tu kuwa ni yeye ameianzisha. A prophet or prophetess is one who is a spokesman for God. It is a divine utterance that comes from the Holy Spirit. (Note: Just as there are prophetic words from God, there are also false prophecies that the Lord warned us about in the Bible as Bro Daniel has well explained. In Matthew 7:15-16 Jesus said, "Beware of false prophets, which come to you in sheep's clothing, but inwardly they are ravening wolves. Na hapa ndio kwenye centre ya tatizo mpaka wengine wameamua kuikataa huduma ya kinabii kabisa.I think its not wise to choose not go for any prophecy just because some of the prophecy are not true or their from the devil……what about those true prophecy from God...that’s why Jesus said you shall know them by their fruits. We must prove the source of prophecy before accepting it as coming from the Lord. God is raising up many prophetic voices in the earth today, even in our country Tanzania we have prophets and prophetess. His gifts of prophecy are basically of two types as others has explained like Bro Musokwa that One is the "simple gift of prophecy" which every believer can express under the unction or direction of the Holy Spirit after they have been filled with the Holy Ghost.
The other is the "office gift" of the spirit which is given to a prophet or prophetess who is called to the "five-fold" ministry office as outlined in 1 Corinthians 12:28 which says "And God has set some in the church, first apostles, secondarily prophets, thirdly teachers, after that miracles, then gifts of healings, helps, governments, diversities of tongues." Also Ephesians 4:11-12 which says" And he gave some, apostles; and some prophets; and some, evangelists; and some, pastors and teachers. For the perfecting of the saints, for the work of the ministry, for the edifying of the body of Christ."
The basic difference between these two types is, the simple gift of prophecy is given to all spirit filled believers as spoken of in 1 Corinthians 14:31, "For you may all prophesy one by one, that all may learn, and all may be comforted." It is for the purpose of edification, exhortation and comfort as spoken of in 1 Corinthians 14:3, "But he that prophesies speaks unto men to edification, and exhortation, and comfort."
The "office gift" of a prophet or prophetess is given to speak to the body of Christ at large. The ministers who are called to the office of a prophet or prophetess will deliver messages also which include edification, exhortation and comfort but their messages can also be directive in nature and ahead of its time in content as well (Ephesians 4:11-15).
Presently God is leading His people with prophetic preaching and teaching. A prophetic movement is taking place in Tanzania and the whole world at large. I completely agree with Mr. Daniel Musokwa that the title "prophet" is never to be taken lightly. A prophet actually speaks for God even though sometimes he himself does not a have a clue what he is saying… all he knows is that the message burns like fire in his bones, not just normal feelings or your own ideas (Interest binafsi)…its very important to make a distinction between the PROPHETIC GIFT and the OFFICE OF THE PROPHET.
From: Bariki Mwasaga [mailto:bmwasaga@yahoo.co.uk] Sent: 28 October 2008 12:10Subject: Re: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Sitakuwa tofauti na wenye IMANI waliotangulia kusema Mambo makuu mimi bado mwanafunzi natamani kuyajua mengi. Binafsi katika suala hili upande niliopo ni ule wa kuamini kile unachoamini au kwa lugha rahisi kuishi na kuenenda kwa imani ambayo licha ya kwamba huja kwa Neno la Kristo bali kila mmoja wetu amemegewa mbegu ya imani. Najua kwa ufahamu wangu wa kiuanafunzi kwamba kuna imani za aina mbili .....(i) Imani inayokuja kwa kuwa na YESU yaani kwa kuokoka tuu basi kila mmoja anayo imani (ii) Imani inayokuja kwa njia ya karama ambayo mtoaji ni Roho Mtakatifu.
Sasa kila mmoja wetu akijua yuko katika hali ipi ama anatumika katika nafasi ipi basi hapo ni mlango tosha wa kufika mahali ambako Mungu anataka au pale kwenye Mapenzi ya Mungu. Sasa basi ikiwa kila mmoja ana sehemu ya Imani kwasababu hata kama mtu hataki kukiri hivyo ili mradi amempokea Kristo kuwa ni Mwokozi anayo Imani. Na kama anayo imani basi lile neno la Marko 11: 22-24 siyo tuu kama ambavyo Wahubiri wengi wahubirivyo hata kati yenu msomao ujumbe huu huwa mnasema hivi ...."mlima usomekao kwenye mistari hii ni majaribu/matatizo (mtizamo wa upande mmoja)" binafsi naamini kabisa wala si kwa bahati mbaya kwamba Yesu alijua yapo matatizo na majaribu ndani na nje ya mwanadamu lakini hapa alikua akitoa mfano dhahiri wa mlima (mountain/hill). Sasa anasema imani yenye ukubwa wa mbegu ya haradali (mbegu ndogo kuliko ya mchicha) unaweza kuhamisha mlima halisi (achilia matatizo/majaribu/mizigo).
Unabii hata ukiwa unakuja kwa kutujulisha kwamba kuna maafa yanakuja bado unaweza kubadilisha mwelekeo wa maafa ikawa baraka kumbuka watu wa Ninawi walipopata unabii wakabadilisha kibao nchi ikapona. Sasani mtizamo tuu ndiyo waweza kuongoza jambo fulani. Ukijua nafasi uliyo nayo katika Ulimwengu wa Roho basi hupati shida na jambo lolote lile...unabakia umeketi heheh tena Alipo Kristo wewe uko mkono wa Kuume wa Mungu pamoja na Kristo tamuu sana hii. Tumesoma na kusikia mengi juu ya uwezo wa ulimi/maneno ya vinywa vyetu achilia mbali suala zima la kuomba na kufunga. Ukijua kama unaweza kuumba na kufisha kitu kwa kutamka tuu tena bila hata kutia Jina la Yesu Kristo wa Nazareti basi hutakiwi usumbuke nafsini kisa OIC ama Kadhi anakuja Bongo. Wala hutakiwi usumbuke nafsini/rohoni eti Unabii wa Kutisha umetolewa juu ya nchi yetu. Binafsi siku zote linapokuja suala ambalo silo la Baraka huwa nafuta tuu na naamin kwamba limekuwa hivyo kama NENO LA MUNGU lisemavyo. Kinachobakia ni Kukiri (Confessions) kwani ukiri wangu ndiyo maungamo yangu ambayo Kuhani Mkuu wa Maungamo haya ni Kristo Yesu pekee. Imani inafanya kazi kutokana na mdomo wako siyo maombi yako tuu (mtizamo wangu Bariki....na ushahidi ninao juu ya hili katika maisha binafsi).
Aisee ndugu sangu (zangu) kweli kabsaaa sisi ni Washindi na Zaidi ya Kushinda kwelii na Mungu hufanya kazi pamoja na hao wampendao katika kufanya nini file??? Kuwapatia mema kweliii Rumi 8:28 na 29 na 30. Miye upande wangu ni huu wa Kupokea Mema tuu hayo mabaya siyajui na wala sifikirii kuyajua na kwa kuwa ni mzao wa Kifalme na Kikuhani basi najua hata Tanzania iko salama kwasababu mimi nipo Tanzania ....mambo ya Kidiplomasia....nawakilisha Mamlaka Kuu ya Mbinguni kwa kasi ya ajabu.......
Kumbukeni bado mwanafunzi mnifundishe mliotangulia na mlioko JUU Kiimani kwani utofauti upo tuu hata ni ngumu watu kukiri hivyo..
Whatever I have, wherever I am, I can make it through anything in the One who makes me who I am. ......
Bariki G. Mwasaga,P.O. Box 3021 ,
Dar es Salaam,
Tanzania.Cell: +255 754 812 387
Res: +255 732 993525
From: Anna Lawere [mailto:anna.lawere@gmail.com] Sent: 28 October 2008 09:59Subject: Re: [Potential Spam] RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Watumishi,
God did not give US a spirit of timidity(fear), but a spirit of POWER, of LOVE and of SOUND MIND. Hatutakiwi kuogopa kwa chochote kile, tunatakiwa KUOMBA SAWASAWA. Guys, We must know "who we are in Christ Jesus". We are children of God, and the whole world knows that..God has given US understanding in all things. Tusiwe kama Lot ambaye aliangalia mazingira ya nje tuu akasahau kumuuliza Mungu wake juu ya nchi aliyoichagua (Sodoma &Gomora) na mwisho wake ukawa mbaya. Napenda jinsi ambavyo Paul alivyosema: 2TIM 4:7-8 I have fought a good fight, I have finished my course, I have kept the faith: Siri ya Ushindi wetu sio jinsi tulivyoanza, ni namna tutakavyomaliza.
1JN 5:14 And this is the confidence that we have in him, that, if we ask any thing according to his will, he heareth us:1JN 5:15 And if we know that he hear us, whatsoever we ask, we know that we have the petitions that we desired of him.
2TIM 2:7 Consider what I say; and the Lord give thee understanding in all things.
IS 45:11 Thus saith the LORD, the Holy One of Israel, and his Maker, Ask me of things to come concerning my sons, and concerning the work of my hands command ye me.
Regards
Anna.
On 10/28/08, Barton Hamis <bartonh@nbctz.com> wrote:
Ndugu Watumishi mnanifundisha vitu vingi sana,
Tupime hizo nabii kwa maandiko, ukurasa wa Biblia,aya na misitari kisha tuweze kupambanua kwa kukubaliana kimsingi ,haijarishi unabii umetolewa na nani au mtumishi gani. The main point hapa is this prophecy measurable to the tune of clearity and embedded with scriptures? Sio tu tunakubaliana tu kwa kuwa mtu akimaliza unabii anasema ( BWANA WA MAJESHI ASEMA) ISSUE HAPA NI BWANA WA MAJESHI YEPI? YA IRAKI? .Pia wakati tunaangalia hizo nabii tuangalie mambo katika global perspective Kwa mfano sasa hivi tujadili Global financial crisis inayoendelea duniani, Je tunatafsiri yeyote katika ulimwengu wa roho?
Pound imepigwa,Euro imepigwa na all major currency zimegongwa baina ya dollar,kumekuwa hakuna safe haven kwa waekezaji maana nyingine ni kuwa uchumi wa dunia unayumba,kama unabisha waulize wanaofanya katika NGO'S watakueleza jinsi ambavyo kuna mikakati ya kupunguziwa misaada na wahisani wao,Na sisi tulio katika mabenki tu mashaidi maana flow kutoka nje si nyingi sana kama iliovyokuwa hapo awali.
JE! HAYA YOTE TUNAYAONA NA JE TUNAYAPA NAFASI GANI KATIKA ULIMWENGU WA KIROHO? NAOMBENI MNISAIDIE WATAKATA WA BWANA YESU.
Regards
Barton.
From: Daniel Musokwa [mailto:musokwajr@yahoo.ca] Sent: 28 October 2008 00:59Subject: [Potential Spam] RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Dear soldier,
I will try to be brief (relative to eternity) and not bore you with a dissertation of what we all know. When you've been swimming for a long time and then come to shore, you feel 'heavier' that usual… it takes a which for you to put away your 'sea legs' and resume your terrestrial ones. The dizziness you feel is caused ambulating or moving in different media. In water your body is lighter because water itself is a heavier media. In air your body is heavier because air is a lighter media. For a long time the church has been swimming in a different media which was not the ideal habitat or environment to foster and nurture spiritual growth. But now God is thrusting the church into its natural habitat and this 'feels' rather disorienting to us because we are not used to it, we are moving into a different media now. We are used to walking by sight. We are used to philosophy and political correctness. We are used to doctrinal unity rather than unity of the faith, hence our gatherings are organizational BODIES instead of an organic BODY.
As far as I understand it is a grave mistake to assume that prophecy must always be positive. This is wrong. Prophecy can indeed be negative, I don't think we even need to go into the Scriptures to prove this. Numerous times Jeremiah lamented to God because all the prophecies that were coming through him were negative and they attracted a lot of ill feelings towards him from the masses. Negative prophecies serve as warnings to afford the target audience an opportunity to repent. Positive ones affirm the status quo, and indirectly warn the people of the consequences of walking in an opposite spirit. There's a great danger for prophets to want to prophecy positivity when the situation is indeed negative and quite dire. There's a big difference between THE PROPHETIC and the OFFICE OF THE PROPHET. Every born-again Christian practices a degree of the prophetic in their daily Christian lives. "I speak life into you brother", "I prophesy favour upon you sister"… all these are prophetic… it happens when we prophesy that which is good. But also we say "I destroy the work of Satan in this place in Jesus' name" or like Peter "may your money perish wish you because you thought you could buy the gift of God with money" or like Paul "you always oppose the Holy Spirit, you will be blind for a while"… all these are prophetic… it happens when we prophesy that which is evil. It is all in the package of our knowledge (experience, practice) of good and evil.
But prophecies about a nation or the wider body of Christ fall under the jurisdiction of the OFFICE OF THE PROPHET. The title "prophet" is never to be taken lightly. A prophet actually speaks for God even though sometimes he himself does not a have a clue what he is saying… all he knows is that the message burns like fire in his bones… so he cannot keep quiet. I assure you that 98% of people who call themselves prophets in this day and age are NOT prophets. Prophets speak the word of God and they also have the power to dish-out visible punishment and draw deadlines for compliance on behalf of God. Everyday we see "prophets" on TV saying "there's a woman here whose name begins with a 'J' please come forward", and 500 women go forward. But this so-called "god" didn't say 'women', it said 'woman'. Where is the God of Jeremiah, Isaiah, Elijah etc? Where is that God who actually knows people's full names and not just their initials? They say "brother I FEEL kinda like God is saying…", but the question is this; is God really saying this to me or is this something that you FEEL in your soul Mr. Prophet?
I know there are real prophets walking the earth right now, but the only test is this:
1. Their words line-up with the Scriptures.
2. They fear no mortal man.
3. What they prophesy comes to pass with 100% accuracy… no excuses… no spiritualizing explanations.
How many so-called prophets you see everyday guessing their way into the truth. "I see you were born in November," she says "October sir", he says "still that's very close". But can't He who keeps count of my every hair also know the month in which I was born. Do His representatives have to guess under His anointing?
Back to topic: I totally concur with Elisha Edson that we have a "fire brigade" mentality in Tanzania . And the ill-fated mentality has successfully permeated into the church. Now everybody and his dog is sending our SOS SMS'es about the OIC issue. Even Swahili wise-men have a saying, "ng'ombe hanenepei mnadani." We always wait until the auction day to try and fatten our cows, and this is wrong. May be the church needs the OIC for true revival and unity to come. In Pemba a Christian is a Christian regardless of denominations, why? Because of severe persecution. Look at the state of the underground church in China , Iraq , Saudi Arabia etc. They have ZERO denominations… all they are is CHRISTIANS! They also have massive on-going revivals because they live at the edge of the sword! If persecution would serve to bring the church in Tanzania off its high-horse of religion and apathy, then it is welcome. Persecution is not such a bad thing, your spirit is gonna love it… even though your flesh might be highly disappointed. Is OIC of God? May be it is. The time will come when it won't matter if your organization (often called denomination) is registered with the Ministry of Home Affairs or not… the gospel is going to require you to speak up even though doing so might yield a prison sentence for you.
So those who have seen bloodshed are not far off the mark spiritually either as this has happened many times in biblical and modern times. The truth is, we ALL know that the spiritual ambience in Tanzania is less than ideal right now. Religious leaders have become egocentric, selfish, proud and money-lovers to the extent that we have become a joke to the world! WE have lost the fear of the Lord which is why the world has lost the fear of the church and it's Lord! Internal prophets prophesy 'negative' prophecies… may be these prophecies are more warnings than negative. Most external prophets would want to please a county they are visiting… but also may be they were sent to prophesy peace into an obviously turbulent situation. But Lyamba said it best, that some prophets see further down the line than others. Some may see war 7 years from now, and others may see peace 14 years from now. Their messages are diametrically polarized from each other, yet both are equally true… but timing is everything. But what is your role as an individual in all this?
We all need to stop thinking about countries and governments because we do not belong to Tanzania or its government. This is not the Old Testament. We need to look above geography and political boundaries. We need to realize:
1. The times we are living in,
2. Who we are in Christ,
3. What the interests of God's Kingdom are, period!
Sometimes it is good for the kingdom for Steven to be stoned because our of that Saul will be converted to Paul and take the Kingdom even further than Steven. Do not be trapped into OIC and Mahakama ya Kadhi. Do not be trapped into reading News Papers for information… that is only passive information… learn to tap into active info from above. Do not engage in political debates and arguments… they are all a façade! You can be a politician, yes, but you are an Ambassador of Christ first. While the whole world is panicking, you have no reason to because your situation is neither controlled by physical pain nor pleasure, its not controlled by the name of your country. We have amazing testimonies from Rwanda and Burundi of people who put their trust in God. A Christian's life is not defined by the name of the country which subtends his earthly existence. Jesus said, "a man's life consists not of the abundance of the things that he possesseth." In other words, your spiritual life and ministry are neither defined nor limited by your physical life.
Having said all that, I think the prophecy my LaVonre Chandler detailed below is very timely and scriptural. He insists that the prophecy is for bishops especially. Please forward it to a bishop near you.
God bless you!
Musokwa, Daniel.
On Mon, 10/27/08, Lyamba Lunyili <LLunyili@mantractanzania.com> wrote:
From: Lyamba Lunyili <LLunyili@mantractanzania.com>Subject: RE: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
Thanks Bro Isaaac
Kweli prophecy zimetulia sana na tumeskia nyingi kwake
But mi sioni kama zinapigana sana nafkiri ni dimensions tu zinapishana inategemea mtu ameongelea dimension ipi kuna wengine wameona mbali zaidi ya wengine, au jinsi gani mtu uliyepokea huo unabii umeupokeaje, unaweza kuwa mtu ameupokea nusu hajapata full package! ikamchanganya
Hatutakiwi kuwa waoga wala kuwa exited sana rather mimi na wewe tuzijue nafasi zetu na tukae katika nafasi hizo kikamilifu na kumjua vema aliyetuita na itakuwa rahisi kuinotice sauti yake kupitia kwa mjumbe yoyote yule atakaye mtumia ! coz Roho mtakatifu ni huyu huyu mmoja!
Ni mimi
From Rock City !
From Elisha Edson
Ndugu Isaac Mpatwa,
Nashukuru kwa kutaka kusikia maoni yangu(wisdom kama ulivyoziita) kwa kunitaja jina langu ktk waraka wako hapo chini.
Nimekuwa kimya sana tangu mijadala hii inayohusu mustakabari wan chi yetu ichukue mkondo.Sina sababu nyingine kubwa ya kunyamaza isipokuwa zifuatazo:
1. Watanzania wengi tunapenda kubwabwaja(kusemasema) sana hasa kunapokuwa na fursa za kulaumu watu au hali Fulani Fulani.Sasa basi utakutaka kila mtu anasemaaaaaaaaaaa na kulaumuuuuuuuu bila yeye mwenyewe kujiuliza maswali kama vile,mimi kama mimi ninahusika vipi na jambo linaloendelea? Au mimi kama mimi ninamchango gani ktk kurekebisha hali iliyopo au itakayokwenda kutokea?au mimi kama mimi nimeshachukua hatua gani ili kuwa sehemu ya ufumbuzi wa tatizo? N.k.Utakuta watu tumekazana kuwalaumu wanasiasa ambao sit u hawamjui Mungu wa kweli bali hawataki kabisa kutaka kujua habari zake.Tunatarajia nini kutoka kwa wanasiasa isipokuwa yale maovu wanayoyaamini na ambayo yamewafanikisha kuwa ktk nafasi walizonazo.Au hata tukiwatupia lawama wachungaji na maaskofu wetu kwa kutarajia kuwa watatusadia,je hao sio hao hao ambao kila kukicha wanasimangana ktk runinga na kwenye vijifalme vyao(makanisa) huko madhabahuni.Kweli tunaweza kuona au kusikia lolote la maana kutoka kwa watu ambao wameshindwa kueneza habari njema za ukombozi na badala yake wanalumbana juu ya vitu kama kucha na suruali.Yesu alisema “Ufalme ukifitinika hauwezi kusimama”Sasa hiyo ndio hali ya kanisa la Tanzania.Unatarajia watu hawa wanaweza kusimama na kutoa hoja za maana kupinga vitu kama OIC na Mahakama ya kadhi?Au unafikiri watu hawa wanaweza wakawa na ushirika wenye nguvu kama nchi zingine(mfano marekani) na kutoa tamko halafu serikali ikaogopa na kuona kuwa umoja wa maaskofu umetoa tamko Fulani.Cha mno tunachokipata ni kejeli tu kutoka kila kona si kwa sababu ya yale tunayoyatenda tu bali hata jinsi tulivyo.
2. Jambo lingine ni kwamba;wakiristo wengi tumekuwa ni watu tuliojawa na uchungu na visasi vingi.Kwa hiyo hakuna amani mioyoni mwetu.Na kila tukisimama kunena tunanena yajazayo mioyo yetu,HASIRA,CHUKI,MATUSI n.k.Kwa hali kama hii usitarajie nabii atoe unabii wa kutia moyo hali yeye hapo alipo hana tumaini.Si ajabu basi kuwa nabii nyingi zinazotuzunguka zimejaa vitisho na hukumu badala ya neema.Na watu tusipobadilika katika semi/nabii zetu ipo siku tutakula matunda ya maneno ya vinywa vyetu i.e. Vita n.k
3. Bila kuwachosha sana,naomba niongelee swala la “FIRE BRIGADE” a.k.a Zima moto.Nadhani mtakubaliana nami watanzania tulio wengi tunatabia ya kuzima moto ktk maeneo mengi ya maisha yetu.Cha ajabu hata maeneo nyeti kabisa.Tunazima moto darasani,maofisini,kwenye kuoa/kuolewa na hata huko makanisani kwetu n.k.Jambo hili limekuwa kama kitu cha kawaida ndio maana utasikia ghorofa limeanguka unasikia tume imeundwa kuchunguza chanzo.Hivi unawezaje kuunda tume ya kuchunguza jengo kuanguka wakati siku zote mlikuwa mnapita kulikagua na kutoa vibali vya kuendelea na ujenzi kwa kila hatua inayomalizika!!?Sasa hali hii ipo hata katika jamii ya waaminio(wakristo) hasa wa TZ.Utasikia maombi ya kufunga yanaitishwa ili kuombea swala ambalo watu wamelifahamu siku nyingi lakini walikuwa wamelinyamazia tu kama hawalioni vile(naomba nieleweke kuwa sipingi maombi hapa).Hoja ninayotaka kuileta hapa ni kwamba;hivi kwanini sisi wakristo tusiwe na mikakati ya muda mrefu huko ktk fellowship na makanisani kwetu juu ya mambo mbalimbali yanayotuhusu kuanzia ktk level ya jumuiya na hata taifa kwa ukubwa.Ninawapongeza kipekee vikundi kama Prayer-Action na vingine ambavyo vimekuwa vikifanya maombi ya muendelezo kwa ajili ya taifa letu.Mungu awabariki sana.Lakini naomba kuuliza;hivi kwanini hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwaanda vijana wetu wenye sifa za uongozi wa umma na kuwawezesha kugombea nafasi mbalimbali nyeti ktk nchi hii?Badala ya kukazana kufunga na kuomba rais,waziri mkuu,mbunge,mkuu wa mkoa aokoke.Mimi nadhani kuna mahali tulidanganyika tukadhani mambo ya siasa hayatuhusu matokeo yake ndio hayoo ya OIC,mahakama ya kazi na memngine mengi yatakayokuja.Hivi wewe unatarajia nini kutoka kwa mtu kama Membe au Mrema ambao wanamajina tu ya kizungu(au basi tuite ya kikristo) lakini hawana hofu ya Mungu ya kweli (wokovu) zaidi ya kupigia debe vitu kama OIC na mahakama ya kadhi provided tu ameahidiwa hatima nzuri kaitika medani za siasa!!!?Think about it!Sasa wapendwa;wakati wa kulala umekwisha,tuamkeni!Na kama tumekosea mahali basi tutubu tukarejee na kumuitia Bwana kama alivyotuahidi katk neno lake akisema “Ikiwa watu wangu waliotwa kwa jina langu,watajinyeyekesha na kuomba na kutubu basi nitasikia na kuiponya nchi yao”.Napenda msemo wa wanaijeria usemao “WHERE THERE IS LIFE THERE IS HOPE”.Let’s arise and stand in the GAP.
Mungu aturehemu
I stand firm but ready to be guided and corrected.
Elisha
From: Isaac Mpatwa [mailto:isaacm@nbctz.com]Sent: Mon 10/27/2008 2:48 PMSubject: THE PROPHECY FOR TANZANIA ...what do you see
……..Moris Cerulo alipokuja Dar Tanzania hivi karibuni, alitoa unabii juu ya nchi ya Tanzania, jinsi Mungu alivyoikusudia mema nchi hii na future yake…again Christopher Mwakasege nae ametabiri almost the same about Tanzania . Here comes again another Prophecy given July 4th, 2008 in Tanzania, Africa by LaVonre Chandler-USA
….You can see, these prophets&prophetess from outside Tanzania what they see in this country is very positive thou the circumstances seems not to agree/comply with the prophecy. Please get time to read and feel free to comment ….lakini manabii wengi hasa local prophet&prophetess (manabii wa ndani) tabiri zao ni very negative about this country, what they see is death, bloodshed and persecution…..I fail to understand this……other servants of God speak very negative at the same time other servants of God speak very positive about this country….what about you? What does God Speak to you concerning the future of this country? It's true that kanisa linatakiwa liongozwe na NENO LA MUNGU NA ROHO MTAKATIFU na sio nabii, Lakini pia biblia inasema tiini manabii mkapate kufanikiwa,sasa kwa issue kama hii,which is which?.....Mtume Lyamba,Paul ,Kajituel, mnasemaje?MwalimuMgisa tuambie bwana?Kingu embu tufafanulie hapo…Isaac Malonga,Daniel Musokwa..pls help…Servant mathias Mhoja embu tupe NENO hapo,Mhando ufunuo tafadhali….Elisha wisdom tafadhali,Bertha Mpatwa embu tupe LOVE WORD hapo….Wachungaji mtusaidie hapo Pastor Abel,Ahmed,Pearson……watumishi Mndeme, Mjuni,Elibariki,Robert,Anna Lawere,Joyce,Debora,Siana,Rita tunawasikiliza…….Remember when you reply, reply to all…continue to be blessed
THE PROPHECY FOR TANZANIA given July 4th, 2008 in Tanzania, Africa by LaVonre Chandler-USA
"Know" says the Lord of host, "I am about to come to this nation in a way this land has never seen. The Judge of all Judges has come to His seat on behalf of His people. Much intercession has come before my very throne and the time has come to rule.
"I shall shake this land" says the Lord, I shall shake every foundation and only that which is built upon my Word shall remain.
I shall overthrow the seats of the council. I shall shake the political systems. I shall remove in one hour those who are not of Me and I shall put in the seats of the council my chosen ones. Some shall be exposed, some shall remove themselves and some shall die. This nation shall have the president one that is my chosen son. There shall be uproar, but know that which I have spoken will be.
Remember your fight is not against blood and flesh but against principalities, against powers, against the rulers of darkness of this age, against spiritual hosts of wickedness in the heavenly places.
"The Battle is the Lords"
I am sending thousands upon thousands, upon thousands of angelic hosts into this nation. They are entering now. They have been sent because of the cries that are coming upon before my throne. There are more with the saints than there are with the wreaked one. These angelic hosts will assist you as the earthquake begins. Fear not! For supernatural protection has already been sent and exist even now.
Tanzania shall be known all over the world for the Glory of God from the highest seats to the lowest. Tanzania shall be known for prosperity that is in her land because of my people for I have hidden treasures in the grounds of this land that shall be discovered. I have hidden these treasures until this timing on behalf of the saints. The silver is mine and the gold is mine, 'Watch and See' for what was hidden shall be revealed. Where there has been poverty shall be prosperity. This too shall slow forth My glory from the north to the south and from the east to the west. I shall strike hidden wells and springs shall spring forth in the driest places.
For what I shall do shall confound the wise of the land. What had no fruit, shall bear much fruits and it shall remain. For this place shall blossom as an oasis "says the living God" for I shall do remarkable things and they shall be heard of all over the world. They shall be seen on the national media. The world will hear of the signs and wonders that I shall do in this nation because my people have sent prayers up to me. For I shall visit those in political seats and in one night I shall visit them in dreams says God. " for some will listen and some will not" those who will not, their seats shall be overthrown and replaced. The fear of the Lord shall fall, watch and see!
For what I have declared shall surely come to pass. And I too, shall visit the Bishops of this land.
For I shall do a NEW THING, For I shall pour upon them fresh NEW VISION. They shall again hear the fresh spoken word of the Lord. For My prophets have called to the four words to come and breathe in to my people.
I have declared to be a NEW SEASON. A season in time, that once again they shall move and flow in a prophetic river. They shall have angelic visitations. Messengers from heaven shall come and deliver to them the strategies of the wicked one.
I shall call forth my prophets to gather together. They shall be trumpets in the land. They shall carry an anointing that shall be released upon saints in the land. Many will not look like what the religious world would call spiritual. But know "says God" I do not look at appearance of man but the heart.
There shall be open opportunities for them to prophecy into the lives of those in high political positions. This too is of Me. For I shall cause an overthrow of the prophets of every demonic high achy in this nation. Their seats shall crumble and fall at the gets of this nation.
I shall sit on the seats of this nation "says the Lord". I shall rule over this nation. I am the King of all Kings. Just as I have saved whole cities "says the Lord of hosts". I shall save the whole nation. Alters of hell shall be demolished and I, in this nation shall, by my people rebuild the alter of true worship to the Living God. I shall uproot, I shall overthrow, I shall build a nation known for my Glory.
I shall call forth my called Bishops. They shall be poured upon by My spirit in such a way that, freedom will come each one of them. The anointing that I am pouring upon their heads shall first destroy the yokes that are binding them. The yokes that have held them in their insecurities and fears that have caused competition and jealousy. Secretly in their hearts they have envied and even been offended with one another and some with me. By my spirit they shall be released and I shall call them to their knees to repentance. It will be yes, at a gathering of Bishops that I will do such outpouring. For I shall gather the Bishops with the prophets and their hearts shall unite as one. In that gathering "says the Lord" I shall release them as an eagle soaring across the land. They shall move as one in total unity. This shall be by my Spirit "says the Lord of Hosts". It shall not be church as it has ever been before. There shall be nothing that could be found in the pages of history to compare it to.
The Bishop shall minister side by side with the prophets and nothing shall stop the word of the Lord coming from their mouths.
In this gathering seven trumpets shall blow and the seven spirits of God shall come mightily upon this land. This too is of Me and it as already been declared. For I shall remove some from their seats and replace them with those who have said Lord hear I am not building my name and reputation but only yours. Many have a form of godliness yet they deny my power and their seat shall be overthrown. They say they are of me called by my name, but I say, they are deceiving themselves,. They once walked with me close, but they have exchanged my glory for mans glory. They have fallen into traps of popularity and reputation. They are deceiving themselves. They have touched my glory and now they shall be removed.
I shall overthrow every prideful and lofty thing. This not only speaks of the political system and the social system, but I say even those things exhausted in my church that are not of Me.
Many of my called ministers have gone this way and they are in pulpits, yet they are back slidden and away from me in their hearts. They must fall upon their knees, humble themselves, and repent. For my day of judgment has come. There is no time to put it off. There is no time to deny truth. For it will cost a great price. I am more concerned about your souls than your reputations. I had rather publicly expose than to see your soul in hell. For only those in humility shall come into my Kingdom 'Says the Lord the judge of all judges.
In this gathering I shall pour out my spirit of grace and supplication and at that time many of my sons and daughters shall be re-clothed in My Glory and Grace. This shall not be gathering of all in the land. It shall be a gathering of the priests and the prophets. Thousands shall come and there I shall pour from my very hands an-end time golden glory oil for this nation.
The LORD has sent me to this nation to release his prophecy in to and over it. This word is especially for Bishops.
Prophecy given July 4th, 2008 in Tanzania, Africa by LaVonre Chandler-USA
Contact – http://www.touchedbygraceministries.org/
May the Lord put this prophecy in the hands who is to run with it. In the Name of Jesus
Regards,Isaac Mpatwa MakalaCredit Administration OfficerNational Bank of Commerce (T) LimitedDirectorate of Credit-NBC Head office, P. O. Box 1863 , Dar es Salaam , TanzaniaTel: ( Mobile ) 0784 847070(Office)+255 (0) 22 211 1970/2888...Ext 335Fax: +255 (0) 22 211 1613e-mail: isaacm@nbctz.com
Subscribe to:
Posts (Atom)